bidam90
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 273
- 202
Kumekuwa na ongezeko kubwa la vyuo Tanzania ukilinganisha na idadi ya walimu wakufundisha kozi husika vyuon!
Hii inapelekea baadhi ya vyuo kuomba walimu kutoka vyuo vyengine kufundisha kama part time lecturers!Hiv kweli inawezekana lecturer 1 kufundisha vyuo zaid ya vi3 kwa semester moja!
Hebu fikiria darasa moja linawanafunzi zaidi ya 500 tena chuo kimoja!bado utakuta ndan ya hicho chuo kimoja anafundisha zaidi ya kozi moja!
Part time lecturers japo sio wote wanamatatizo mengi sana moja wapo ni ufundishaji mbovu lengo lao ni kumaliza kozi iishe bila kuangalia wanafunzi wameelewa vp kozi husika,pia wengi wao wamekuwa wakibeba wanafunzi hata kama wamefeli asionekane hajui kufundisha alinde kibarua chake!
Vile vile usahihishaji mbovu wakat mwengine anawapa watu wengine wamsaidie kusahhisha kutokana na majukumu alonayo!
Hivi TCU wanaliona hili kweli?
Hii inapelekea baadhi ya vyuo kuomba walimu kutoka vyuo vyengine kufundisha kama part time lecturers!Hiv kweli inawezekana lecturer 1 kufundisha vyuo zaid ya vi3 kwa semester moja!
Hebu fikiria darasa moja linawanafunzi zaidi ya 500 tena chuo kimoja!bado utakuta ndan ya hicho chuo kimoja anafundisha zaidi ya kozi moja!
Part time lecturers japo sio wote wanamatatizo mengi sana moja wapo ni ufundishaji mbovu lengo lao ni kumaliza kozi iishe bila kuangalia wanafunzi wameelewa vp kozi husika,pia wengi wao wamekuwa wakibeba wanafunzi hata kama wamefeli asionekane hajui kufundisha alinde kibarua chake!
Vile vile usahihishaji mbovu wakat mwengine anawapa watu wengine wamsaidie kusahhisha kutokana na majukumu alonayo!
Hivi TCU wanaliona hili kweli?