kap2ya
Member
- Sep 12, 2014
- 22
- 3
Wadau mko poa
Nahitaji msaada wa mawazo juu ya hili swali linalonisumbua kichwani.. Nimemaliza diploma mwaka huu na kuna sehemu najishikiza kidogo ss nataka niendeleee na masomo yangu ya degree
1/ je nikiwa part time itafaa zaidi ili niweze kujikimu au nisome full
2/ipi tofauti Kati ya part time or full time kwenye ajira
3/kwenye cheti wanaandika kama nimemaliza nikiwa full au part time
Nahitaji msaada wa mawazo juu ya hili swali linalonisumbua kichwani.. Nimemaliza diploma mwaka huu na kuna sehemu najishikiza kidogo ss nataka niendeleee na masomo yangu ya degree
1/ je nikiwa part time itafaa zaidi ili niweze kujikimu au nisome full
2/ipi tofauti Kati ya part time or full time kwenye ajira
3/kwenye cheti wanaandika kama nimemaliza nikiwa full au part time