Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Passover maanake kuvuka hatua. Kuanzia na kusulubiwa kwa Yesu mpaka kufufuka.
Hakika IMEKWISHA PALE MSALABANI.
Hakika IMEKWISHA PALE MSALABANI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi alikaa siku ngapi kaburini!?PassOver maanake kuvuka hatua.kuanzia na kusulubiwa kwa Yesu mpaka kufufuka Hakika IMEKWISHA PALE MSALABANI
Tatu.. Ijumaa kuamkia jmos, jmos kuamkia jpili na ... Mh mbona hesabu haikai hapa?? Mbili sijui? Usikute na mix na yule mwamba aliemezwa na nyangumi..Hivi alikaa siku ngapi kaburini!?
Tatu mtumishiHivi alikaa siku ngapi kaburini!?
Ebu zihesabu!!?Tatu mtumishi
Sio alishinda simu moja? Black saturday?Tatu.. Ijumaa kuamkia jmos, jmos kuamkia jpili na ... Mh mbona hesabu haikai hapa?? Mbili sijui? Usikute na mkxina yule mwamba aliemezwa na nyangumi..
Ndiyo zinatimia siku tatu!?Sio alishinda simu moja? Black saturday?
Aliingia Ijumaa
Akashinda Jmos
Akatoka JPl
Ni 2.. 3 hazimalizikiNdiyo zinatimia siku tatu!?
HahaaahajTatu.. Ijumaa kuamkia jmos, jmos kuamkia jpili na ... Mh mbona hesabu haikai hapa?? Mbili sijui? Usikute na mkxina yule mwamba aliemezwa na nyangumi..
AhaahahaYesu mwenyewe alisheherekea pasaka kabla ya kusulubiwa hii imekaaje wadau?? Naomba mnitoe tongotongo hapa
Imekaaje kwa wapi?Yesu mwenyewe alisheherekea pasaka kabla ya kusulubiwa hii imekaaje wadau?? Naomba mnitoe tongotongo hapa
WapiImekaaje kwa wapi?
Kwani wewe muhimu si ule pilau tu Jumapili mkuu😅😅
Ukristo ulikuwepo kabla ya KristoAhaahaha
Ndiyo ushangae
Kristo na ukristo ni vitu viwili tofauti
AhahhaaaKwani wewe muhimu si ule pilau tu Jumapili mkuu😅😅