Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
aaaaahw jamani hadi raha afu kuna sisi tuko wenyewe kama mishumaaSebuleni kwangu huku naburudika na cartoon na wanangu pembeni baba yao bila kusahau vinywaji pembeni...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aaaaahw jamani hadi raha afu kuna sisi tuko wenyewe kama mishumaaSebuleni kwangu huku naburudika na cartoon na wanangu pembeni baba yao bila kusahau vinywaji pembeni...
niko hapa juliana na henken kama zoteAsalaam,
Hakika Mwana Kondoo amefufuka na hivyo basi tumfuate, Kheri za Pasaka kwenu.
Bila kupoteza muda tupeane code ni wapi leo utaenda kufurahia sherehe zako za pasaka ukishashiba pilau la nyumbani kwako. Karibuni.
Karibu flying fish 🤣🤣aaaaahw jamani hadi raha afu kuna sisi tuko wenyewe kama mishumaa
anakulia time soon analianzisha maza 😅😅😅😅😅😅😅😅Home kwa maza ni kubonya ubweche tu.
😂😂 najuaga Uric ni za wanene tuHomuuu tu na familia .Leo pombe no,nyama no .Kiwango cha uric acid kimepanda hatari basi joint zinauma kinyamaa.
Kipo Mkuu Na Kinafanya Kazi SanaaHivi kiwanda cha dimon hapo kingoluwira bado kipo?
Jamani muda wako ukifika uta enjoy na kupata mnaeendanaaaaaahw jamani hadi raha afu kuna sisi tuko wenyewe kama mishumaa
Asante.....Nimependa nilichosoma [emoji3590]
Waohh!Kipo Mkuu Na Kinafanya Kazi Sanaa
Hamna hata raha ndugu yangu, heri kuwa mwenyewe una enjoy mara dufu.aaaaahw jamani hadi raha afu kuna sisi tuko wenyewe kama mishumaa
Hii haina mafujo🤣Tafadhalini, PASAKA iliwe kistaarabu
🙏🙏🙏🐑🐏
Zanzibar ni nchi, sawa na kusema tanganyika.Zanzibar
Yeah, Siyo kesho tunaamka mtu amekatwa koromeo.. Haipendezi kabisa.Hii haina mafujo🤣
Vipi hujapiga chibuku moja ya mbege🤣niko apa manyelezi toka ijumaa kuu
tarehe 2 niko kwenye mambo ya mwenge..hakika Moshi imechangamka si mchezo
Toka nenda white houseNdani… nawazoom Liverpool, natamani mno yafungwe