Pasaka unailia kiwanja gani?

Pasaka unailia kiwanja gani?

Tena mikoani ndo wanajua kuhonga balaa wala hawana mbambamba , huko jijini wanaotakiwa kunihonga mie ndo wanataka niwahonge wao, sasa mie hayo naweza wapiii?

Mambo yako mikoanii, yaan buli bulii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mbona wa mikoani kila siku wanahamia jijini, na kuna vibinti vikimaliza chuo havitaki kurudi makwao mikoani
 
Nachakata mbususu kwa kasi ya 5G nashushia na red wine.
Tandika huyo mpaka ummalize nyama za utamu.
images (5).jpeg
 
Home tu,siku za sherehe haipendezi kutoka kwasababu kunakuwa hakuna usalama road,madereva wameonja kilevi........kuna wengine tangu January leo ndiyo wamepata offers tena za Pombe na hawaziwezi ni kero tupu........ni vema kubaki nyumbani tu
 
Back
Top Bottom