Pascal Mayala: Waandishi wa habari walipwe posho kama Wabunge

Pascal Mayala: Waandishi wa habari walipwe posho kama Wabunge

JOHNGERVAS

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2016
Posts
1,011
Reaction score
1,681
Mwandishi wa habari kutoka PPR Media, Pascal Mayalla ameiomba Serikali kuwapa posho waandishi wa habari pale wanapotekeleza majukumu yao kama ambavyo wabunge hulipwa posho kila wanapohudhuria vikao wakati wakitekeleza majukumu yao.

Aidha, Mayalla amesema baadhi ya posho wanazopewa waandishi wa habari wakati wakitekeleza majukumu yao (brown envelope) isichukuliwe kama rushwa kama ambavyo wengi huona hivyo, kwani kitu hicho hufanyika hata kwa watu wa taaluma zingine akitolea mfano wanasheria na wabunge ambao hupewa posho baada ya kushiriki vikao katika sehemu za kazi zao.

Mayalla amesema hayo kwenye ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam leo Novemba 18, 2024, wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 ambapo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo.

SOURCE TBC ONLINE

Snapinsta.app_467421507_1472784793359921_5936287538677570566_n_1080.jpg
 
Mwandishi wa habari kutoka PPR Media, Pascal Mayalla ameiomba Serikali kuwapa posho waandishi wa habari pale wanapotekeleza majukumu yao kama ambavyo wabunge hulipwa posho kila wanapohudhuria vikao wakati wakitekeleza majukumu yao.

Aidha, Mayalla amesema baadhi ya posho wanazopewa waandishi wa habari wakati wakitekeleza majukumu yao (brown envelope) isichukuliwe kama rushwa kama ambavyo wengi huona hivyo, kwani kitu hicho hufanyika hata kwa watu wa taaluma zingine akitolea mfano wanasheria na wabunge ambao hupewa posho baada ya kushiriki vikao katika sehemu za kazi zao.

Mayalla amesema hayo kwenye ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam leo Novemba 18, 2024, wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 ambapo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo.

SOURCE TBC ONLINEView attachment 3155402
😆😆😆😆 Mayalla maana yake ni Njaa - Dr Magufuli
 
Mwandishi wa habari kutoka PPR Media, Pascal Mayalla ameiomba Serikali kuwapa posho waandishi wa habari pale wanapotekeleza majukumu yao kama ambavyo wabunge hulipwa posho kila wanapohudhuria vikao wakati wakitekeleza majukumu yao.

Aidha, Mayalla amesema baadhi ya posho wanazopewa waandishi wa habari wakati wakitekeleza majukumu yao (brown envelope) isichukuliwe kama rushwa kama ambavyo wengi huona hivyo, kwani kitu hicho hufanyika hata kwa watu wa taaluma zingine akitolea mfano wanasheria na wabunge ambao hupewa posho baada ya kushiriki vikao katika sehemu za kazi zao.

Mayalla amesema hayo kwenye ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam leo Novemba 18, 2024, wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 ambapo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo.

SOURCE TBC ONLINEView attachment 3155402
Sawa tunamkubali kuwapa posho lakini kwanza walete credentials zao form four walipata D ngapi, form 6 na transcript za vyuo vikuu

Tutalipa Kuanzia GPA angalau yab point 3

Kwa vigezo hivi hata Pascal mwenyewe hatii mguu
Labda akina Ulimwengu na Ngaiza

Ni aibu mtu kama zembwela kujitambulisha kama kiongozi wa waandishi wa habari
 
Mwandishi wa habari kutoka PPR Media, Pascal Mayalla ameiomba Serikali kuwapa posho waandishi wa habari pale wanapotekeleza majukumu yao kama ambavyo wabunge hulipwa posho kila wanapohudhuria vikao wakati wakitekeleza majukumu yao.

Aidha, Mayalla amesema baadhi ya posho wanazopewa waandishi wa habari wakati wakitekeleza majukumu yao (brown envelope) isichukuliwe kama rushwa kama ambavyo wengi huona hivyo, kwani kitu hicho hufanyika hata kwa watu wa taaluma zingine akitolea mfano wanasheria na wabunge ambao hupewa posho baada ya kushiriki vikao katika sehemu za kazi zao.

Mayalla amesema hayo kwenye ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam leo Novemba 18, 2024, wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 ambapo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo.

SOURCE TBC ONLINEView attachment 3155402
Hiyo brown envelop, ina kiwango? Maana posho za wabunge zina kiwango..!! Brown envelop ni RUSHWA kama rushwa zingine.
 
Back
Top Bottom