Pascal Mayala: Waandishi wa habari walipwe posho kama Wabunge

Pascal Mayala: Waandishi wa habari walipwe posho kama Wabunge

Namshangaa ndugu nilimshauri muda tu achukue hata form ya Uwenyekiti wa mtaa lakini ameweka roho ngumu kweli..
Subiri ufe tushuhudie mbwembwe zao
Katelephone kama kawaida.
 
Hoja yake isipuuzwe, ina mashiko katika picha kubwa ya habari

Lakini swali ambalo Mkuu Pascal Mayalla anatakiwa kujiuliza;

Hiyo bajeti ya kuwalipa hizo Posho hao wahandishi wa habari italipwa kutoka kwenye kasima ipi?

Kama zaidi ya asilimia 75 ya Wahandishi wa habari wa Tanzania hawana mikataba ya kazi, je swala hilo litafanikiwa??
 
Hoja yake isipuuzwe, ina mashiko katika picha kubwa ya habari

Lakini swali ambalo Mkuu Pascal Mayalla anatakiwa kujiuliza;

Hiyo bajeti ya kuwalipa hizo Posho hao wahandishi wa habari italipwa kutoka kwenye kasima ipi?

Kama zaidi ya asilimia 75 ya Wahandishi wa habari wa Tanzania hawana mikataba ya kazi, je swala hilo litafanikiwa??
Tupunguze ukubwa bunge letu kwa 25% P anaongezwa mshahara na aliyoita brown envelop kwa waandishi wote na wanahabari.Ila naomba awaulize hao wana sii hasa.Je kwa maslahi ya taifa wapo tayariii?
 
Mwandishi wa habari kutoka PPR Media, Pascal Mayalla ameiomba Serikali kuwapa posho waandishi wa habari pale wanapotekeleza majukumu yao kama ambavyo wabunge hulipwa posho kila wanapohudhuria vikao wakati wakitekeleza majukumu yao.

Aidha, Mayalla amesema baadhi ya posho wanazopewa waandishi wa habari wakati wakitekeleza majukumu yao (brown envelope) isichukuliwe kama rushwa kama ambavyo wengi huona hivyo, kwani kitu hicho hufanyika hata kwa watu wa taaluma zingine akitolea mfano wanasheria na wabunge ambao hupewa posho baada ya kushiriki vikao katika sehemu za kazi zao.

Mayalla amesema hayo kwenye ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam leo Novemba 18, 2024, wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 ambapo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo.

SOURCE TBC ONLINEView attachment 3155402
Fundi wake anajitahidi sana kumharibia suti
 
Tupunguze ukubwa bunge letu kwa 25% P anaongezwa mshahara na aliyoita brown envelop kwa waandishi wote na wanahabari.Ila naomba awaulize hao wana sii hasa.Je kwa maslahi ya taifa wapo tayariii?
Katika vitu hao jamaa hatutaelewana nao ni kuwapunguzia Mishahara na marupurupu yao

Ndiyo maana wenzetu wamejiwekea utaratibu wa kujichukulia pension zao Kila baada ya miaka 5 🙌
 
Mwandishi wa habari kutoka PPR Media, Pascal Mayalla ameiomba Serikali kuwapa posho waandishi wa habari pale wanapotekeleza majukumu yao kama ambavyo wabunge hulipwa posho kila wanapohudhuria vikao wakati wakitekeleza majukumu yao.

Aidha, Mayalla amesema baadhi ya posho wanazopewa waandishi wa habari wakati wakitekeleza majukumu yao (brown envelope) isichukuliwe kama rushwa kama ambavyo wengi huona hivyo, kwani kitu hicho hufanyika hata kwa watu wa taaluma zingine akitolea mfano wanasheria na wabunge ambao hupewa posho baada ya kushiriki vikao katika sehemu za kazi zao.

Mayalla amesema hayo kwenye ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam leo Novemba 18, 2024, wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 ambapo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo.

SOURCE TBC ONLINEView attachment 3155402
Wawalipe waalimu wasituchoshe
 
Hili linaonesha uwandishi habari haukidhi mahitaji yao ambayo ni hatari kwa uwandishi habari kuwa huru.
 
Kumbe Pasco ni dingi kinoma! Dah 😁
Huyu mwamba hana ngekewa alipata kura moja ya wajumbe. 😁
 
Back
Top Bottom