Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa na maana gani hiyoIkiwa hivyo jengo la bunge watalivunja kwa mikono siku hiyo uamuzi ukifikiwa.
Kulalamika kulipwa kama waandishi wanavyolipwaItakuwa na maana gani hiyo
Watu wanajali matumbo yao tuu 😄
Tupunguze ukubwa bunge letu kwa 25% P anaongezwa mshahara na aliyoita brown envelop kwa waandishi wote na wanahabari.Ila naomba awaulize hao wana sii hasa.Je kwa maslahi ya taifa wapo tayariii?Hoja yake isipuuzwe, ina mashiko katika picha kubwa ya habari
Lakini swali ambalo Mkuu Pascal Mayalla anatakiwa kujiuliza;
Hiyo bajeti ya kuwalipa hizo Posho hao wahandishi wa habari italipwa kutoka kwenye kasima ipi?
Kama zaidi ya asilimia 75 ya Wahandishi wa habari wa Tanzania hawana mikataba ya kazi, je swala hilo litafanikiwa??
Uko sawa kabisa ndio maana hata nashangaa wale waliokubali kwenda kuhojiwa naye na wakamkaribisha kwao.Nilisema hapa hata mpango wake wa Diaspora nia yake ni kutafuta funds mengine ni porojo tu. Pascal Mayalla pesa hazitafutwi hivyo.
Fundi wake anajitahidi sana kumharibia sutiMwandishi wa habari kutoka PPR Media, Pascal Mayalla ameiomba Serikali kuwapa posho waandishi wa habari pale wanapotekeleza majukumu yao kama ambavyo wabunge hulipwa posho kila wanapohudhuria vikao wakati wakitekeleza majukumu yao.
Aidha, Mayalla amesema baadhi ya posho wanazopewa waandishi wa habari wakati wakitekeleza majukumu yao (brown envelope) isichukuliwe kama rushwa kama ambavyo wengi huona hivyo, kwani kitu hicho hufanyika hata kwa watu wa taaluma zingine akitolea mfano wanasheria na wabunge ambao hupewa posho baada ya kushiriki vikao katika sehemu za kazi zao.
Mayalla amesema hayo kwenye ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam leo Novemba 18, 2024, wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 ambapo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo.
SOURCE TBC ONLINEView attachment 3155402
Katika vitu hao jamaa hatutaelewana nao ni kuwapunguzia Mishahara na marupurupu yaoTupunguze ukubwa bunge letu kwa 25% P anaongezwa mshahara na aliyoita brown envelop kwa waandishi wote na wanahabari.Ila naomba awaulize hao wana sii hasa.Je kwa maslahi ya taifa wapo tayariii?
😅😅..unaumri gani jf aisee?Huyo kwenye picha ndio yeye?
Wewe utaambia ujiajiri usisubiri kuajiriwa.Haiwezekani wote kuajiriwa.Katika vitu hao jamaa hatutaelewana nao ni kuwapunguzia Mishahara na marupurupu yao
Ndiyo maana wenzetu wamejiwekea utaratibu wa kujichukulia pension zao Kila baada ya miaka 5 🙌
Wawalipe waalimu wasituchosheMwandishi wa habari kutoka PPR Media, Pascal Mayalla ameiomba Serikali kuwapa posho waandishi wa habari pale wanapotekeleza majukumu yao kama ambavyo wabunge hulipwa posho kila wanapohudhuria vikao wakati wakitekeleza majukumu yao.
Aidha, Mayalla amesema baadhi ya posho wanazopewa waandishi wa habari wakati wakitekeleza majukumu yao (brown envelope) isichukuliwe kama rushwa kama ambavyo wengi huona hivyo, kwani kitu hicho hufanyika hata kwa watu wa taaluma zingine akitolea mfano wanasheria na wabunge ambao hupewa posho baada ya kushiriki vikao katika sehemu za kazi zao.
Mayalla amesema hayo kwenye ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam leo Novemba 18, 2024, wakati wa mkutano wa wadau wa sekta ya habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025 ambapo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo.
SOURCE TBC ONLINEView attachment 3155402
Hatari aisee, wamejaa ubinafsi sana wale JamaaWewe utaambia ujiajiri usisubiri kuajiriwa.Haiwezekani wote kuajiriwa.
Mbona ako na utoto mwingi humu jf?Miaka 70 kasoro siyo mchezo, ndio yeye