Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Unayajua majukumu ya bunge ?Watu wengi wanakimbilia bungeni kwa lengo la kubadili maisha yao na si ya wananchi.
Kwenye uchaguzi mkuu ingekuwa ni vyema tukachagua nafasi ya urais na udiwani. Sijaona umuhimu na ulazima wa uwepo wa Bunge. Mihimili miwili UTAWALA na Mahakama inajitosheleza kabisa.
Fedha zinazotengwa kuendesha bunge kwa miaka mitano zinaweza kutumika katika maeneo mengine ya maendeleo kwa wananchi.
NB: Nimeandika utani ambao hata mimi binafsi siuelewi[emoji16][emoji16]
Mbona unataka kuwa serious mkuu.Unayajua majukumu ya bunge ?
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Ulitangaza chama utakacho gombea kiaina. Si ulisema unataka ukamsaidie spika na jei pii emu?Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Kila la heri kakaMwandishi nguli na Mchambuzi Mkongwe wa habari Pascal Mayalla ametangaza nia ya kugombea ubunge.
Amesema hivyo baada ya kuona mapungufu mengi kwenye bunge lililopita, amejipima na kuona anatosha kuwania hiyo nafasi.
Hajataja Jimbo, Wala Chama atakachotumia kuwania hiyo nafasi.
Ila amesisitiza ieleweke anaenda bungeni.
Kwa niaba ya Wana JF wote nakutakia safari na mafanikio mema kwenye hiyo safari yako mpya ya utumishi.
Chanzo: Pascal Mayalla . Star tv leo.
=======
Nimetazama kipindi cha "jicho letu ndani ya habari" Star TV leo na kwa kweli imenisikitisha maana kila Jumamosi ni lazima nichelewe kutoka home nitazame mijadala iliyokomaa ya PM. nimeanza kukufuatilia tokea kipindi cha Kiti Moto ITV hadi sasa, Nimepoteza hamu ya kufatilia vyombo vingi vya habari ikiwemo magazeti yetu baada ya ile Rai ya wakina Privatus Karugendo, Joseph Mihangwa, Prince Bagenda na Majid Mjengwa. Sasa nitapoteza sehemu iliyokuwa imebaki amabyo ni kipindi hicho star Tv kwa sababu ya kuondoka kwa Nguli wewe. Safari Salama Legend Paschal Mayalla!Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Pascal Mayalla hongera sana, unaweza na una hoja nzito.Mwandishi nguli na Mchambuzi Mkongwe wa habari Pascal Mayalla ametangaza nia ya kugombea ubunge.
Amesema hivyo baada ya kuona mapungufu mengi kwenye bunge lililopita, amejipima na kuona anatosha kuwania hiyo nafasi.
Hajataja Jimbo, Wala Chama atakachotumia kuwania hiyo nafasi.
Ila amesisitiza ieleweke anaenda bungeni.
Kwa niaba ya Wana JF wote nakutakia safari na mafanikio mema kwenye hiyo safari yako mpya ya utumishi.
Chanzo: Pascal Mayalla . Star tv leo.
=======
Ikulu ipo Kawe, hivyo ukiwa Mbunge unaenda sikiliza hadi shida za Ikulu yaani [emoji3][emoji3][emoji3]Kawe Kuna Nini,kila mtu kawe.
Ikulu ipo Kata ya Kivukoni jimbo la IlalaIkulu ipo Kawe, hivyo ukiwa Mbunge unaenda sikiliza hadi shida za Ikulu yaani [emoji3][emoji3][emoji3]
Ingawa sitwaweza kukupigia kura kwa vile sijui jimbo lako, nitakuunga mkono kwa sababu nakufahamu kwa takriban miaka 30 sasa; ninajua kwa uwezo na uadilifu wako bila shaka yoyote utawatendea haki watu wa jimbo lako.Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Ni wakati mwafaka hata "Matonya" aweke nia kule hata Kongwa!Mwandishi nguli na Mchambuzi Mkongwe wa habari Pascal Mayalla ametangaza nia ya kugombea ubunge.
Amesema hivyo baada ya kuona mapungufu mengi kwenye bunge lililopita, amejipima na kuona anatosha kuwania hiyo nafasi.
Hajataja Jimbo, Wala Chama atakachotumia kuwania hiyo nafasi.
Ila amesisitiza ieleweke anaenda bungeni.
Kwa niaba ya Wana JF wote nakutakia safari na mafanikio mema kwenye hiyo safari yako mpya ya utumishi.
Chanzo: Pascal Mayalla . Star tv leo.
=======
Pamoja mkuu nakutakia ushindi wa kishindo.Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Tunakuungaje mkono na siri yako.Sikuelew unajua we mzeeNi kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Azma ipi sasa ya kuficha ficha mambo.??????Enzi hizi??Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Tukuunge mkono wakati wewe unamuunga mkono shetani ?Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla