Kila la kheri kakaNi kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Unafichaficha nini sasa?Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Unafichaficha nini sasa? Ucje ukawa ni wale wanye kutia nia majimbo zaidi ya moja tofauti na pia chama tofautiNi kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Iwe Kinondoni ...ukamgalagaze BASHITE mapema asubuhi.Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Mungu akupe afya njema na mafanikio mema.Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Lakini si huwa kwenye declaration zako huwa unasema wewe si mwachama chochote cha siasa ? hizo sifa za kugombea umezitoa wap mkuu?Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Dr Mashinji hatafikisha hata nusu ya kura alizopata James Mbatia 2010 hapo KaweKawe anapitishwa Dkt Mashinji kupitia Ccm hilo liko wazi.
Mapambio yote aliyoyafanya kakoza Teuzi kaona ajaribu na Ubunge[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwandishi nguli na Mchambuzi Mkongwe wa habari Pascal Mayalla ametangaza nia ya kugombea ubunge.
Amesema hivyo baada ya kuona mapungufu mengi kwenye bunge lililopita, amejipima na kuona anatosha kuwania hiyo nafasi.
Hajataja Jimbo, Wala Chama atakachotumia kuwania hiyo nafasi.
Ila amesisitiza ieleweke anaenda bungeni.
Kwa niaba ya Wana JF wote nakutakia safari na mafanikio mema kwenye hiyo safari yako mpya ya utumishi.
Chanzo: Pascal Mayalla . Star tv leo.
=======
Asante kwa kusahihisha ....Ikulu ipo Kata ya Kivukoni jimbo la Ilala
Hatutaki uende kuwa mzee wa kusifu bora ubaki nasiPascal Mayalla njoo ukanushe huku mkuu...
Au ni miongoni mwa wale 176 wa Kawe ? Maana kuna uzi ameeleza wasifu wake ni namna gani yeye ni ''borntown'' wa Kawe.
All the best. Ila mpaka leo tarehe 18 Julai, 2020, sijakuona popote au nimepitwa na mambo in these four za CCM au tusubir kukuona ukipitia vyama vingine ambavyo havijaanza au havijamaliza utaratibu wa uteuzi ndani ya vyama vyao!? Tunasubiri na ninasema tena KILA LA HERI!Mwandishi nguli na Mchambuzi Mkongwe wa habari Pascal Mayalla ametangaza nia ya kugombea ubunge.
Amesema hivyo baada ya kuona mapungufu mengi kwenye bunge lililopita, amejipima na kuona anatosha kuwania hiyo nafasi.
Hajataja Jimbo, Wala Chama atakachotumia kuwania hiyo nafasi.
Ila amesisitiza ieleweke anaenda bungeni.
Kwa niaba ya Wana JF wote nakutakia safari na mafanikio mema kwenye hiyo safari yako mpya ya utumishi.
Chanzo: Pascal Mayalla . Star tv leo.
=======
Azma ya mtu inaungwaje mkono?!Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla