Uchaguzi 2020 Pascal Mayalla atangaza nia kugombea Ubunge

Uchaguzi 2020 Pascal Mayalla atangaza nia kugombea Ubunge

Kwa upande wa CCM muda umeisha, hii inatosha kuonesha Paskali ni upande wa pili!

Kila la kheri kigeugeu bin maslahi.
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Kila la kheri kaka
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Unafichaficha nini sasa?
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Unafichaficha nini sasa? Ucje ukawa ni wale wanye kutia nia majimbo zaidi ya moja tofauti na pia chama tofauti
 
Nilikuwa namkubali Paskal Mayala wa Kitimoto na sie huyu wa Jamii Forum na yule aliyekuwa akitangaza vipindi vya saba saba, njaa imemfanya ajulikane: mdini,mnafiki asiye na msimamo au kusimamiwa anachoamini.
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Iwe Kinondoni ...ukamgalagaze BASHITE mapema asubuhi.
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Mungu akupe afya njema na mafanikio mema.
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Lakini si huwa kwenye declaration zako huwa unasema wewe si mwachama chochote cha siasa ? hizo sifa za kugombea umezitoa wap mkuu?
 
Angalizo kwa vyama vya kisiasa, wapitishe wagombea ambao wana uhakika kuwa hawata withdrawal majeshi katikati ya VITA majimboni.
 
Mwandishi nguli na Mchambuzi Mkongwe wa habari Pascal Mayalla ametangaza nia ya kugombea ubunge.

Amesema hivyo baada ya kuona mapungufu mengi kwenye bunge lililopita, amejipima na kuona anatosha kuwania hiyo nafasi.

Hajataja Jimbo, Wala Chama atakachotumia kuwania hiyo nafasi.

Ila amesisitiza ieleweke anaenda bungeni.

Kwa niaba ya Wana JF wote nakutakia safari na mafanikio mema kwenye hiyo safari yako mpya ya utumishi.

Chanzo: Pascal Mayalla . Star tv leo.

=======
Mapambio yote aliyoyafanya kakoza Teuzi kaona ajaribu na Ubunge[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
CCM wanashangilia utitiri wa watia nia ya kugombea ubunge kupitia chama lao la Joka la Kijani la Kishetani, lakini hii so dalili mzuri tunakoelekea tutakuwa kama Somalia kila mtu anataka kuongoza mwisho wake tutaanza kuzichapa kugombania madaraka ya kisiasa maana ndiyo kwenye maslahi. Watumishi hawajaongizewa mashahara kwa miaka Kitano,nani anataka umasikini na unyonge.
 
Mwandishi nguli na Mchambuzi Mkongwe wa habari Pascal Mayalla ametangaza nia ya kugombea ubunge.

Amesema hivyo baada ya kuona mapungufu mengi kwenye bunge lililopita, amejipima na kuona anatosha kuwania hiyo nafasi.

Hajataja Jimbo, Wala Chama atakachotumia kuwania hiyo nafasi.

Ila amesisitiza ieleweke anaenda bungeni.

Kwa niaba ya Wana JF wote nakutakia safari na mafanikio mema kwenye hiyo safari yako mpya ya utumishi.

Chanzo: Pascal Mayalla . Star tv leo.

=======
All the best. Ila mpaka leo tarehe 18 Julai, 2020, sijakuona popote au nimepitwa na mambo in these four za CCM au tusubir kukuona ukipitia vyama vingine ambavyo havijaanza au havijamaliza utaratibu wa uteuzi ndani ya vyama vyao!? Tunasubiri na ninasema tena KILA LA HERI!
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Azma ya mtu inaungwaje mkono?!

Tunapiga kura au tunakusukumiza uende ukagombee?!
 
Back
Top Bottom