Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Kwani JF ni Jimbo? Mi sikuungi mkono, labda mguuNi kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Njoo Zambarau ndio future ya nchi hii.Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Zanzibar kule wana experience. Alishashindwa mara nyingi uko nyuma tena CCM ikiwa vipande upande wa Zanzibar ndio sasa hivi?! CCM Zanzibar itakuwa na uchaguzi mrahisi kupita za nyuma!!CCM hawana hofu na Zitto hata kidogo, kinachowaumiza kichwa ni Sefu kule Zanzibar...
CCM hatoboi yaani hatapewa nafasi ya kugombea. Mwisho wa siku itakuwa ni ACT!Chama ccm jimbo tusubiri na tuone
Mi kama mwana Jf nauunga mkono iwapo ukiteuliwa kwenye jimbo langu hesabu kula yangu unayo.... Best wishes. PASKALI mayallaNi kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Haya tuambie unataka msaada gani toka kwetu Si unajua WOTE hatukai jimbo lako |
Usije yukawa kama Ayuob RYIYOBA UKAANZA KUNATA ILA SITEGEMEITarehe 17 ilikuwa Mwisho wa
kurudisha fomu
Hata ukigombea CCM nakuunga mkono,hakuna namna.Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla
Update,Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.
Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.
Paskali Mayalla