Uchaguzi 2020 Pascal Mayalla atangaza nia kugombea Ubunge

Uchaguzi 2020 Pascal Mayalla atangaza nia kugombea Ubunge

Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Kwani JF ni Jimbo? Mi sikuungi mkono, labda mguu
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Njoo Zambarau ndio future ya nchi hii.
Vyama vyenye nguvu ndio chachu ya haki , Democrasia na Maendeleo.
Vyama havitakua kama kila mtu ataogopa na kuvaa kijani.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM hawana hofu na Zitto hata kidogo, kinachowaumiza kichwa ni Sefu kule Zanzibar...
Zanzibar kule wana experience. Alishashindwa mara nyingi uko nyuma tena CCM ikiwa vipande upande wa Zanzibar ndio sasa hivi?! CCM Zanzibar itakuwa na uchaguzi mrahisi kupita za nyuma!!

Kwa mtazamo wangu, Mbinde ni Bara uchaguzi huu. Membe hawezi kushinda lakini ata mu-expose Magufuli sana na atamweka katika wakati mgumu katika awamu ijayo!
Yale yote waliyoshindwa kuyaongelea kwenye majukwaa na bungeni kwenye kupindi cha miaka mitano sasa ndio watapa nafasi!! Ni bora wangewaacha waongee yote ukifika wakati wa kampeni hakuna jipya kwa wananchi!!
Halafu Lissu naye asipowewa nafasi. Kwa hasira atakimbilia ACT.
Mkumbo akikatwa jina na wengi wewe unadhani nini kitakachofuatia?
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Mi kama mwana Jf nauunga mkono iwapo ukiteuliwa kwenye jimbo langu hesabu kula yangu unayo.... Best wishes. PASKALI mayalla
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Hata ukigombea CCM nakuunga mkono,hakuna namna.
 
Ni kweli kabisa, nimetangaza nia kugombea ubunge, na sikutangaza ni jimbo gani au kupitia chama gani, ili kuepuka taking undue advantage dhidi ya wagombea wengine ambao hawana access na media.

Wana JF wenzangu, naombeni mniunge mkono katika azma yangu hii.

Paskali Mayalla
Update,
Nimetangaza kuwania ubunge kupitia CCM, jimbo la Kawe.

P
 
Back
Top Bottom