batmanwafez
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 882
- 1,346
Kama nipo sahihi mwaka 1997 alimhoji Seif Sharif. Alikuwa makini sana. Nisichosahau kuna mualikwa mmoja nadhani shabiki wa Maalim aliuliza swali Pasco akamwambia hakubali maswali ya kipambe!Mkuu, waanidishi wa habari wakubwa wa miaka ya 1990's walikuwa siyo watu wa mzaha mzaha. Ndiyo maana unaposema kwamba mwaka 1995 aliwahoji wanasiasa wakubwa napata shida mno.
Kwakweli Watanzania mnajua kumnanga mtu.. Paschal akiona haya maneno anaweza kutoa machoziKabla ya kuwekwa Kitimoto na Ndugai si alikua na Akili ya kawaida tu ya kisomi?
Lakini baada ya kuwekwa kitimoto na hao jamaa wa ki CCM kawa Dondocha la uswaizi.
Kiufupi ni kwamba ameuza utu wake kwa Mabeberu wa Kiafrica kaishiwa kwa ajili ya njaa.
Pole sana Mayala Fikra zako umeuza mwenyewe.
Kwakweli Watanzania mnajua kumnanga mtu.. Paschal akiona haya maneno anaweza kutoa machoziKabla ya kuwekwa Kitimoto na Ndugai si alikua na Akili ya kawaida tu ya kisomi?
Lakini baada ya kuwekwa kitimoto na hao jamaa wa ki CCM kawa Dondocha la uswaizi.
Kiufupi ni kwamba ameuza utu wake kwa Mabeberu wa Kiafrica kaishiwa kwa ajili ya njaa.
Pole sana Mayala Fikra zako umeuza mwenyewe.
Siku hizi mashuleni bado wanafundisha fasihi? Debate zipo?
Hapo tu ndio nimekuelewa. Na mimi nikajipatia jibu. Sitamlaumu tena paskal Malaya. Kweli kwa kipindi cha sasa unakuwa rafiki wa wengine pale unapowasimamia kile wanachoamini,tena kwa kupaza sauti. Lakini uki-arestiwa hata ksbb za uongo,wote wanakaa pembeni. Hawachukui hata hatua moja ya kukukomboa,kukupigania,kukulilia. Nimejifunza neno hapa. paskal Mayala nimekuelewa broPascal wa wakati ule alikua na njaa kubwa ya kuinua kipaji chake na kupata pesa kuwa na kampuni yake. Huyu wa sasa ana familia yake. Mnataka awe shujaa wenu wakati mnashindwa hata kumsaidia Kabendera. Mnashindwa kumsaidia Ben sanane. Huo ushujaa wa kuwafanyia watanzania waliojaa unafiki kwa awamu hii unatoka wapi?
nimesema mpaka mwisho ndio nikajua nimesoma utoto baada ya kuona " lead between the lines* badala ya "read between the lines
Alafu linavyojikuta lijuaji sasa unaweza dhani ni jitu la maana sana hilo kumbe toto la juzi.Mwaka 1995 ulikua kichanga huwezi jua.
Heheh...Namkumbuka Huyu jamaa ni wa kitambo mno yani hakuna TV station hajapita anajulikana sana lakini sio maarufu.
si ndio huyu aliyekuwa anafanya mapenzi ya jinsia moja na yule boss mstaafu wa ATCL
Umezaliwa mwaka gani labda tuanzie hapo?!Pascal gani amewahoji wanasiasa mwaka 1995, Pascal huyuhuyu wa JamiiForums au mwingine ???
No kweli alikuwa kichanga Paschal 1984 alikuwa Ilboru hgl hivyo wengine kweli wamemjulia humu jf lkn tuliyesoma naye pale Ilboru we know the guyMwaka 1995 ulikua kichanga huwezi jua.
Mkuu jitahidi matumizi sahihi ya herufi ndogo na kubwa na pia unaweka nukta pasipohusika na kuanza sentensi nyingine kwa herufi ndogo. Kiufupi hata ukiwa umeandika mada nzuri kiasi gani kama uzingatii kanuni za uandishi unapunguza uhondo wa mada.M
Sawa kabisa hata Mimi simkadii,Bali namtaka Pascal wetu wa zamani.haha haa.
Eh eh!!mzee angalia usije ukawa unachanganya ma "file"si ndio huyu aliyekuwa anafanya mapenzi ya jinsia moja na yule boss mstaafu wa ATCL
Huyu Paschal Mayalla ,si ndiyo kamchongea ndugu Katambala apelekwe Gerezani?Pascal wa wakati ule alikua na njaa kubwa ya kuinua kipaji chake na kupata pesa kuwa na kampuni yake. Huyu wa sasa ana familia yake. Mnataka awe shujaa wenu wakati mnashindwa hata kumsaidia Kabendera. Mnashindwa kumsaidia Ben sanane. Huo ushujaa wa kuwafanyia watanzania waliojaa unafiki kwa awamu hii unatoka wapi?
Wanataka aipinge serikali kwenye kila kitu halafu akosee avunje sheria ili akifunguliwa mashtaka waandike free pascal kwa I'd fake.Pascal wa wakati ule alikua na njaa kubwa ya kuinua kipaji chake na kupata pesa kuwa na kampuni yake. Huyu wa sasa ana familia yake. Mnataka awe shujaa wenu wakati mnashindwa hata kumsaidia Kabendera. Mnashindwa kumsaidia Ben sanane. Huo ushujaa wa kuwafanyia watanzania waliojaa unafiki kwa awamu hii unatoka wapi?
Oohoooooohhhh!!! 1984 what!?No kweli alikuwa kichanga Paschal 1984 alikuwa Ilboru hgl hivyo wengine kweli wamemjulia humu jf lkn tuliyesoma naye pale Ilboru we know the guy