Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Nilikuwa namfatilia enzi hizo nikiaa youngster kabisa
Toka enzi za kitimoto sijui DTV au channel ten ile.
Then vipindi vya sabasaba TVT.
Nilipojiunga JF miaka 10 iliyopita nilivutiwa na mtu aitwa pasco hakuwa anapindisha ukweli na hakuw a mtu wa kuegemea upande wowote wa siasa. That's made he legendary kabisa na heshima yake iiikuwa kubwa maradufu.
Baadae nikaja ng'amua kuwa pasco ndio Pascal mayalla.
Sasa sense aanze kujiita oascal mayala humu amekuwa sio yule pasco tuliemjue .
Old version of pasco aliishia pale magogoni the day alipoambiwa mayalla kwa kizilanKENDE ni "njaa"
Aliitwa kule dodoma kwa yule mgogo ndio wakam-cement kabisa the new born again Pasco.
Halafu akaja kuwa pasco the shaman prophet of doom ambae bado anaamini kwa daudi albert bashite ni mtu sahihi kuwa mkuu wa kaya.just imagine [emoji15][emoji849] ndugu msomaji.
Ngomaa ikivutwa sana hupasuka, na grafu lazika i bend down haiwezi paa kila siku.
Unajua atakuambia "read between the line" mambo ya facts open atataka u storm akili uchanganyikiwe umuone ni yupe yule pasco the intellectual.
Apewe tu ukuu wa wilaya.
He is heading 60 soon na Hana pension serikali imkumbuke kilazima
Toka enzi za kitimoto sijui DTV au channel ten ile.
Then vipindi vya sabasaba TVT.
Nilipojiunga JF miaka 10 iliyopita nilivutiwa na mtu aitwa pasco hakuwa anapindisha ukweli na hakuw a mtu wa kuegemea upande wowote wa siasa. That's made he legendary kabisa na heshima yake iiikuwa kubwa maradufu.
Baadae nikaja ng'amua kuwa pasco ndio Pascal mayalla.
Sasa sense aanze kujiita oascal mayala humu amekuwa sio yule pasco tuliemjue .
Old version of pasco aliishia pale magogoni the day alipoambiwa mayalla kwa kizilanKENDE ni "njaa"
Aliitwa kule dodoma kwa yule mgogo ndio wakam-cement kabisa the new born again Pasco.
Halafu akaja kuwa pasco the shaman prophet of doom ambae bado anaamini kwa daudi albert bashite ni mtu sahihi kuwa mkuu wa kaya.just imagine [emoji15][emoji849] ndugu msomaji.
Ngomaa ikivutwa sana hupasuka, na grafu lazika i bend down haiwezi paa kila siku.
Unajua atakuambia "read between the line" mambo ya facts open atataka u storm akili uchanganyikiwe umuone ni yupe yule pasco the intellectual.
Apewe tu ukuu wa wilaya.
He is heading 60 soon na Hana pension serikali imkumbuke kilazima