Pascal Mayalla na Jacton Manyerere wakubaliana na Spika Ndugai kwa uamuzi wa kumrejesha Mwambe na wabunge 4 waliofukuzwa CHADEMA


Umenena vema kabisa. Natamani Pasval na mwenzake.wasome.hii post.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo ni Manyerere aliyejenga pale chini ya kwa Mwl Nyerere Butiama? Manyerere anataka ubunge wa Butiama hivyo lazima aseme hayo ili asije kukosa kupitishwa na jiwe mpitishaji kwenye kura za maoni.

Pasco yeye faili yake ipo kwa jiwe na anajua hilo anaogopa sana kesi ya utakatishaji pesa. Pasco endelea kua hivyo hivyo uvuguvugu unatafutwa sana na kesi ya utakatishaji pesa na kutengeneza ile software kama Tito Magoti na ...

Manyerere yeye akiendelea hivi mwakani mtamwona Bungeni kwa tiketi ya mupe muruke.
 
Pasco mayala yuko kwenye project ya tokomeza UA Chadema, sijui kama inamlipa
 
Wakisema Ndugai hayupo sahihi ka TV ka watu katafungiwa! Kwa mazingira wanayozungumzia waacheni wazoze watakavyo! Ila kila mtu anajua Ndugai katowa boko la karne!

Sent using Jamii Forums mobile app
Katiba inasemaje kwa mtu asiye na dhamana ya chama cha siasa kuwa mbunge? Kweli matamko na matakwa ya mtu yawe juu ya katiba? Kweli Mayalla na Manyerere mnatetea uvunjifu wa katiba unaofanyika mchana kweupe? Basi mna matatizo!
 
uko umuhimu mkubwa mawazir icwe lazima wawe wabunge yaan rais achague yoyote anaoona anafaa na mbunge awe na uwezo wa kuhama chama au kuanzisha cha kwake huku akibaki na ubunge wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pascal aonewe huruma kwa kutopata uteuzi licha ya kuunga mkono juhudi kwa nguvu zote. Karibuni amekosa kwa karibu sana kuteuliwa kujaza nafasi ya Sheria na Katiba ingawa sifa zote anazo ikiwa ni pamoja na Homeboy, kuunga juhudi na kuwa na njaa Kali. Tunaofahamu jitihada zake za muda mrefu za kutaka kuteuliwa, ile nafasi ya Mtwara iliyoachwa na Homeboy mwingine tulikuwa na uhakika atapata lakini alizidiwa kete. Hata hivyo amefikia hatua ya matumaini makubwa ya uteuzi nafasi ikitokea karibuni maana TV alikokuwa leo na kila Jumamosi ni ya Mwenyekiti. Tz bila wa kukubeba hufiki mbali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…