sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
- Thread starter
- #21
Chanzo cha yyoteee hayo ni maandiko yake tunao jua tunajua usie jua kaa kimnya.Mbona sijaona ulichoandika hapo kumtuhumu huyo pascal?
What if walidukua mawasiliano ya Kabendera?
Lakini pia kumbuka kashtakiwa kwa uhujumu uchumi na utakatishaji fedha. Wacha due process of law iamue.