Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Pascal Mayalla ndiye aliyemchongea Erick Kabendera kwa dola

Binafsi namuomba Mwenyez Mungu atupe maarifa watz tuweze kuondokana na JPM na ikiwezekana iwe ni marufuku kwa msukuma yeyote kugombea urais. Nchi hii imewah kupata marais kutoka makabila mbali mbali lakini hatukuwahi kuona unafiki wa kikabila kwa kiwango hiki.

Alikuwepo Nyerere mzanaki lakini hatuwaona wazanaki wakiwa wanafiki na wenye kuina nchi ni yao, Alikuwepo Mwinyi, Mkapa na Kikwete bt mambo yalikuwa utanzania tu wala sio umakonde au Ukwere. Wasukuma ni washamba Limbukeni sana. Lakini pia watu hawa hawashauriki na hawajiamini kabisa.
Pumbavu!!
 
Huyu mwaanzisha mada hana uzalendo na nchi pia bandiko lake lina uchafuzj wa nchi kwa misingi ya kuendeleza Ukabila. Suala la mwandishi ERICK liachiwe mahakama litoe maamuzi. Zama hizi si za kumpaka manukato mtu atumikaye kumkashifu kiongozi wetu mkuu kwa maslahi ya mabeberu
 
Huyu mwaanzisha mada hana uzalendo na nchi pia bandiko lake lina uchafuzj wa nchi kwa misingi ya kuendeleza Ukabila. Suala la mwandishi ERICK liachiwe mahakama litoe maamuzi. Zama hizi si za kumpaka manukato mtu atumikaye kumkashifu kiongozi wetu mkuu kwa maslahi ya mabeberu
Propaganda za kipumbavu sana ulizoandika hapa, kila anayesema ukweli, anayekosoa au anayetoa mawazo tofauti mnapenda sana kujaribu kuhadaa watu eti 'anatumika na mabeberu'. Je vipi kwa wanaotumika na dikteta?
Nchi huru ni lazima kutakuwa na opinions tofauti katika issues mbalimbali na lazima kuwe na critics ambao kazi yao ni ku'alert na kupaza sauti pale jahazi linapoonekana kwamba linaenda mrama, na hata dunia lazima ifahamu kwani sometimes viongozi hufanya uonevu, ukatili na mabaya mengine mengi kwa makusudi mostly kwa faida zao za kiutawala.
Na kuhusu ukabila hebu scrutinize hii nchi inavyoendeshwa kwa sasa na urudi tena.
 
katiba ya nchi inasema kuwa kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake ili mradi asivunje sheria za nchi
ikiwa mimi nitasema yanga ni bora zaidi nawe ukanipinga kwa kusema simba ni bora zaidi huo ni mtazamo tuu

ikiwa wewe utaona glasi imejaa nusu nami nikaona iko wazi nusu ni kutokana na mawazo yetu kuwa tofauti

sioni kwamba kila mmoja awe na mawazo ya kufanana na mwenzake na pale tunapotofautiana katika mtazamo mtu awe msaliti
 
Niombe wasomaji wangu muelewe kuwa sina nia mbaya ninapojaribu kuja na uchambuzi wa namna hii. Lengo langu ni kuoneshana kuwa nchi yetu iko hatarini hasa pale taaluma moja ambayo Taifa linawategemea wanaposigana katika jamii nani anayeumia zaidi!

Nakumbuka siku za hivi karibuni gazeti la the Economist lilikuja na habari ambazo Mkuu Pascal aliziita kuwa ni habari za uongo dhidi ya Rais wetu wa Tanzania.

Gazeti ilo liliwahi kuja na habari kuwa "Rais wa Tanzania hapendi kukosolewa"

Gazeti ilo baada ya kuchapishwa Pascal Mayalla alikuja na bandiko la kupinga habari ile huku akionesha jinsi ambavyo sio kweli Rais wetu anapenda kukosolewa.

Alikwenda mbali zaidi akamnukuu Rais wetu kuwa aliwahi kuwaambia wanahabari kuwa yeye anapenda kukosolewe ila akosolewe kwa Staha na kwa hoja.

Pascal Mayalla kwenye andiko lake anatolea mfano kuwa yeye Pascal Mayalla ni moja ya wanahabari ambao waliwahi kumkosoa Rais na Rais alikubali kukosolewa kwa kumjibu huku akimtania.

HOJA.

Kwanza lazma watu mjue kuwa andiko la Pascal kupinga habari ya the Economist ndio iliyoamsha watu na kuanza kufuatilia ni nani na yuko wapi anae ripoti habari hizo katika gazeti la the Economist?

Hapa naomba nieleweke,hata watumishi idara nyeti walianza kufatilia gazeti ilo baada ya kusoma bandiko la Pascal Mayalla hapa JF, na ndipo wakaja kugundua kuwa kumbe mwandishi wa habari zile na nyeti kupitia gazeti lile ni ndugu yetu Erick Kabendera.

Kwanini walifuatilia,kiukweli kilichoandikwa na mwandishi huyo wa habari kilikuwa na ukweli wa 100%ingawa huyu Ndugu Mayalla alikipinga kwa lengo la kujipendekeza kwa msukuma mwemzake.

Je, Pascal Mayalla alijua tangu awali kuwa Kabendera ndie anayeandika habari nyeti na kuziripoti The Economist na alishindwa kumuita kama mdogo wake na kumpa onyo?

Kimsingi kifungo cha Kabendera nadhani ni furaha kwa Mayalla kwani alimjua tangu awali na alishindwa kabisa kumuita na kumuonya ingawa wote wanatoka kanda ya ziwa.

Je, Pascal alijua Erick akifungwa tegemezi wake watalia na kusaga meno na wengine watajitokeza mitandaoni wakimlilia kwa kukosa hata fedha ya kununua Dawa?

Nadhani yote aliyajua ndio maana tangu Kabendera awekwe korokoloni hajawahi jitokeza popote kulaani kukamatwa kwa kijana huyu zaidi inasemekana ndio kwanza anatafuta makala zote zilizoandikwa huko nyuma na kuzisoma na kuzifafanua kwa vijana wa idara nyeti ili kijana azidi kubanwa.

Andiko la Mayalla dhidi ya kumtetea ndugu yake liko hapa JF linaudhi linaumiza kwani humo ndani anawataja wakosoaji wakubwa wa nchi hii ambao leo hii wamegeuziwa rangi ya unga wa ndere wao wanaita unga mweupe sasa huku wakila kuku kwa mirija.

Nasisitiza waandishi wa habari mtengeni Mayalla na waandishi wote wenye vinasaba vya ukabila na wanaoshindwa kusimamia taaluma badala yake wanaishia kujipendekeza kwa kuhofia uhai wao.

Natoa rai kwa Serikali ya Jamhuri kumwachia huru Kabendera. Tusipomdai kwa kiswahili tutawataka kwa kilugha, na hapo ndipo tutakapozuia kiongozi yeyote kuingia mkoa wa Kagera mpaka "omwana weitu mumutaishure.""
This is foolish! Mtu kama wewe unashangiliwa na watu wasioijua dunia na serikali zake. Mayalla anastahili pongezi kama mwandishi aliyeona upuuzi wa makara zile. Ulisoma machapisho mengine ya hilo jarida la The Economist na matusi yaliyoendelea? Yani huyo aliyekuwa anaandika aliona kazi yake ni mashambulizi binafsi kwa rais? Hakuna zuri lolote la kuandika juu ya TZ?

Kama ni Kabendera ndo mwandishi, hana akili ya kudadavua mambo. Alijiingiza ktk upuuzi wa kuguswa mgongoni na wazungu, akavimba kichwa na kujisahau kwamba yeye ni mwafrika. Ni mwandishi asiye na akili ya kujitegemea. Mwandishi gani wa Ulaya au Amerika ataliandikia gazeti la Afrika kila wakati akishambulia nchi yake anakoishi, aachwe na kuchekewa?

Mwandishi Peter Arnett wa NBC, US aliachishwa kazi wakati wa vita ya Iraq kwa kufanya interview na TV ya iraq ambayo serikali ya US hawakuipenda.
 
Wa-Tanzania let us not be naive. Kumsingizia brother Pascal kuwa chanzo cha kukamatwa kwa ndugu Eric si sahihi. Binafsi, sipendezwi na watu kukosa dhamana na kutupwa gerezani. Kule si kuzuri. Pia mtu kuwa remanded kunaathiri sana vibaya familia ikiwa mhusika ni bread-winner katika familia. Kwa maono yangu makosa yote yawe na dhamana. Having said that, lazima tuwe makini katika hili suala. Siamini kuwa vyombo vya usalama vina-base maamuzi yao kwa kusikiliza alleged informants pekee. There's got to be procedural steps taken leading up to the arrest and charging of someone. Hivi ikithibitika kuwa bwana Eric ni foreign agent mtasemaje? Msifikiri kuwa foreign agent ni kama kwenye filamu za James Bond. Wako wa kila aina. Sifurahishwi na Eric kuwa gerezani kama nisivyofurahishwa na m-Tanzania yeyote kuwa kunyimwa dhamana kwa kosa lolote lile. Lakini tusiyoyajua tusiyapigie debe. Blaming brother Pascal is not right. Yeye huchambua makala mbali mbali hapa and he does a good job giving both sides of the story. You do not have to agree with him but to brand him an informant is unfair.
Ni kipi cha ajabu ambacho Eric alikuwa anaandika hadi uweke uwezekano wa kuwa anaweza kuwa foreign agent? Ni kipi ambacho Eric amekuwa anaandika ambacho Watanzania wengine wasiopenda ujinga hawajaongea?! Taja JAMBO MOJA tu ambalo Eric amewahi kuandika ambalo wengine hawajawahi kulisema!!

Kwani ni uongo kwamba Magufuli ni dikteta?

Kwani ni uongo kwamba utawala wa Magufuli unakiuka katiba?

Kwani ni uongo kwamba utawala wa Magufuli unakandamiza haki za binadamu?

Kwani ni uongo kwamba sekta binafsi imevurugwa sana tangia Magufuli aingine madarakani?

Ni mwehu tu ndie atajifanya hayafahamu hayo na kuona anayesema hayo hadharani eti ni msaliti! Uliyoandika yote ni ujinga tu wa kujifanya upande mmoja una-care lakini short and clear, we nawe ni wale wale tu! Na kama Eric ni Foreign Agent, basi tunahitaji ma-Foreign Agents wengi zaidi kuliko taifa kuwa na misukule aina yako wanaojivika kilemba cha uzalendo fake wakati kimsingi sio wazalendo bali ni watetezi wa mfumo!
 
Hizo likes ni sawalakii imenibidi niangalie ni akina nani wanatoa likes hizo. Remember, the world ha very few clever people. Wengi ni foolish kama mwandishi wetu.
Crap! Kama LIKES za jamaa zinakusumbua, ita tu misukule wenzako na wewe wakupe likes badala ya kuleta wivu wako wa kike hapa!
 
This is foolish! Mtu kama wewe unashangiliwa na watu wasioijua dunia na serikali zake. Mayalla anastahili pongezi kama mwandishi aliyeona upuuzi wa makara zile. Ulisoma machapisho mengine ya hilo jarida la The Economist na matusi yaliyoendelea? Yani huyo aliyekuwa anaandika aliona kazi yake ni mashambulizi binafsi kwa rais? Hakuna zuri lolote la kuandika juu ya TZ?

Kama ni Kabendera ndo mwandishi, hana akili ya kudadavua mambo. Alijiingiza ktk upuuzi wa kuguswa mgongoni na wazungu, akavimba kichwa na kujisahau kwamba yeye ni mwafrika. Ni mwandishi asiye na akili ya kujitegemea. Mwandishi gani wa Ulaya au Amerika ataliandikia gazeti la Afrika kila wakati akishambulia nchi yake anakoishi, aachwe na kuchekewa?

Mwandishi Peter Arnett wa NBC, US aliachishwa kazi wakati wa vita ya Iraq kwa kufanya interview na TV ya iraq ambayo serikali ya US hawakuipenda.
Unajua dunia gani wewe wakati ni mpumbavu tu mtea mfumo kandamizi!Kama Kabendera hana akili, what about mtu kama wewe ambae daily upo hapa kutetea udhalimu unaotokea nchini! Tutarudia tena na tena, hakuna udhalimu uliowahi kudumu madarakani milele! Na nyie vibaraka watetea udhalimu pia mna mwisho!!
 
Unajua dunia gani wewe wakati ni mpumbavu tu mtea mfumo kandamizi!Kama Kabendera hana akili, what about mtu kama wewe ambae daily upo hapa kutetea udhalimu unaotokea nchini! Tutarudia tena na tena, hakuna udhalimu uliowahi kudumu madarakani! Na nyie vibaraka watetea udhalimu pia mna mwisho!!

Kwa lugha hiii. Wewe na Wale Wa kibiti ni Mtu na Mdogo wao. Jamani wauaji ndo hawa.
 
Pole si kila mtu anaweza muelewa uandishi wake ni highly skilled ,skubezi ila nakuhakikishia huwa humuelewi,hata tunaomuelewa huwa tunaelewa amepanda nn tunajifanya hatujaelewa maksudi tunakuza jambo ,sjui na hapa umeelewa mkuu
 
Unajua dunia gani wewe wakati ni mpumbavu tu mtea mfumo kandamizi!Kama Kabendera hana akili, what about mtu kama wewe ambae daily upo hapa kutetea udhalimu unaotokea nchini! Tutarudia tena na tena, hakuna udhalimu uliowahi kudumu madarakani! Na nyie vibaraka watetea udhalimu pia mna mwisho!!
Watu wanajadili hoja na kuweka mifano, wewe unaleta vilio vya matatizo yako. Nani akusaidie hayo? This is not an error of elitism. One stupid weak-minded creature can't be allowed to pollute this society simply, by using corrosive language against the President.
 
Back
Top Bottom