Pascal Mayalla niwie radhi ila nikuulize swali, unajua kuwa Ben Saanane tulikuwa naye humu tukijadiliana?

Pascal Mayalla niwie radhi ila nikuulize swali, unajua kuwa Ben Saanane tulikuwa naye humu tukijadiliana?

Wewe na Chadema tokea Ben Saanane ametoweka mmechukua hatua gani kuhakikisha anarudishwa na hao mnaosema wamemteka? Mmeenda mahakamani? Mmeenda ofisi za Un? Au mnabaki kulalamika na kuwatusi watu kama akina Pasco.
Unapojibu hoja please shirikisha ubongo wako,hapo juu umeambiwa ni wajibu wa vyombo vya ulinzi na usalama kulinda usalama wetu sisi,sio wajibu wa vyama vya kisiasa kufanya hii kazi
 
Unapojibu hoja please shirikisha ubongo wako,hapo juu umeambiwa ni wajibu wa vyombo vya ulinzi na usalama kulinda usalama wetu sisi,sio wajibu wa vyama vya kisiasa kufanya hii kazi
Sasa mmeshatambua havijatimiza wajibu wake,na kuna watu mnadai vimewateka,what next?

Any way sijui nakujibu una level gani ya elimu. Isiwe kama mtoa mada.
 
Sasa mmeshatambua havijatimiza wajibu wake,na kuna watu mnadai vimewateka,what next?

Any way sijui nakujibu una level gani ya elimu. Isiwe kama mtoa mada.
Wewe ni Delinquent JF member for life,huna hata chembe ya ubinadamu na still bado unakwenda kwenye nyumba za ibada,elewa Saanane alikuwa na familia yake na why serikali katili imekatiza furaha ya familia hii?na kwa sababu upo so selfish you don't take a dam.
 
Nyie mnawataja kina Ben, Anzroy, Lwabeja(?) n.k sababu ni watu maarufu.

Ukweli ndani ya hii miaka mitano watu wengi wameumizwa vibaya mno, kuna waliofilisiwa, waliotekwa, waliopotea ama kufa kitatanishi, wengine walihasiwa, wengine wanaishi uhamishoni lkn kwa kuwa siyo maarufu hawazungumzwi kama hao wahanga wengine.

Tumwombe Mungu atamatishe ukatili uliotamalaki Tanzania.
Tamati imefika
 
Je, Pasco hujui kuwa Ben Saanane tulikuwa naye humu tukijadiliana? Nani wa kupaswa kuulizwa alipo Ben? Nani tuliyemkabidhi ulinzi na usalama wa watanzania wote? Kwanini hajali kuhusu Ben? Je, Kazi zake zina baraka kutoka kwa nani hadi hiyo Ulaya ije Tanzania?

Kumpa Magufuli miaka mingine mitano ni kuchuma janga! Tukubaliane kwa lugha ya kawaida kabisa kuwa Rais wetu amepungukiwa kiasi kikubwa mno cha ubinadamu! Huo ni ukweli! Tusiupinge kwa kuangalia ubinafsi wetu kwa muda huu! Tuangalie jamii nzima kwa miaka mitano ijayo!

Ndugu yangu Pascal Mayalla, nakusihi jikalie kimya tu kama walivyoamua kina barafu na Mzee Mwanakijiji. Hawa wameamua kuona aibu baada ya kutokujua uhalisia hapo kabla. Kumnadi Magufuli ni kukosa hofu ya Mungu! Usiruhusu hilo likatokea kwako!
Mkuu G Sam , nimekusikia, kuhusu kupotea kwa Ben Saanane, mimi ni muumini wa kitu kinachoitwa karma.

P
 
Niliwahi kukutana na kufanya kazi na Ben kwa siku chache kiukweli bado naamini yupo hai na salama. Hope kwa mabadiliko haya twaweza kupata details alipo.
 
Kwenye uzi huu

Uchaguzi 2020 - RC wa Mwanza, John Mongela avunja Mwiko wa Kampeni Kwa Kuongea Ukweli Bayana!, "Tukimpa Mitano Tena, JPM Kuigeuza Tanzania Nchi ya Maziwa na Asali"

jana nilikuwa member wa kwanza kuchangia na kwakweli nilikerwa na uzi wa ndugu yetu Pasco. Nilikerwa kwakuwa ni yule muumini wa "Hayajatokea kwangu na familia yangu hivyo hayanihusu"

Niwie radhi maana nilikuporomoshea mzigo mpaka mods wakaamua kuufuta, aidha niombe radhi kwa wote niliowakwaza!

Nina swali moja tuu kwa Pasco, nimeamua kuacha mengine lukuki najua anayajua.

Je, Pasco hujui kuwa Ben Saanane tulikuwa naye humu tukijadiliana? Nani wa kupaswa kuulizwa alipo Ben? Nani tuliyemkabidhi ulinzi na usalama wa watanzania wote? Kwanini hajali kuhusu Ben? Je, Kazi zake zina baraka kutoka kwa nani hadi hiyo Ulaya ije Tanzania?

NB: Hilo ni swali moja tu! Yapo mengi nimeyaacha na unayajua.

Ipo methali moja inasema "Mchuma janga hula na wakwao"
Usije ukajiaminisha kuwa wewe siyo "Wakwao" ukifikiria hivyo basi unafanya kosa kubwa kabisa!

Kumpa Magufuli miaka mingine mitano ni kuchuma janga! Tukubaliane kwa lugha ya kawaida kabisa kuwa Rais wetu amepungukiwa kiasi kikubwa mno cha ubinadamu! Huo ni ukweli! Tusiupinge kwa kuangalia ubinafsi wetu kwa muda huu! Tuangalie jamii nzima kwa miaka mitano ijayo!

Ndugu yangu Pascal Mayalla, nakusihi jikalie kimya tu kama walivyoamua kina barafu na Mzee Mwanakijiji. Hawa wameamua kuona aibu baada ya kutokujua uhalisia hapo kabla. Kumnadi Magufuli ni kukosa hofu ya Mungu! Usiruhusu hilo likatokea kwako!
Mkuu G Sam , nafanya tuu mapitio issues za Ben Saanane baada ya kutangaziwa rasmi alivyoondoshwa!. Kuna vitu vikubwa ulivisema humu nikivitafakari nimegundua wewe sio mtu wa kawaida tuu, una kitu!.

P
 
Back
Top Bottom