citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
Njaa Mayala kama maana ya jina lakePascal amebadilika once again. Maisha yanaenda kasi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa Mayala kama maana ya jina lakePascal amebadilika once again. Maisha yanaenda kasi sana
Mkuu Cannabis, mwache jemedari apumzike!Mzee Pasco unaposema Rais Samia anaturudisha kwenye reli unamaanisha jemedari wetu JPM alikuwa ametutoa kwenye reli?
Si nchi ilikuwa on the right track au?
Usiombe mtu akala KIZIMA AKILI huyo mtu hatajitambua ila WENZAKE watagundua ila yy hawezi gundua kwa sababu tayari AKILI yake imekwisha kuzimika.ndio hawa akina Mayala p. Kazi tunayo ktk Taifa.Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania alifanya mabadiliko ya kiutendaji ikiwa ni pamoja na kumuondoa aliyekuwa Katibu Mkuu kiongozi Dokta Bashiru Ali na kumteua kuwa mbunge.
Je, wachambuzi wanazungumzia vipi hatua hii?
Msikilize mchambuzi wa siasa za Tanzania, Pascal Mayalla akichambua kwa kina kuhusiana na kile kinachoonekana kama anguko la msomi huyo.
View attachment 1817783
Usiwe na wasiwasi, reli ya SGR ipo, treni zinawasili, safari ya DAR Moro kuzinduliwa soon.Mkuu nina wasiwasi sana kwamba hatuna hata hiyo reli ndio maana sarakasi haziishi !
mkuu kamata kesto bardiiiiiiiiiiiii mbili hapo kwa mangi naja kukulipia 😂 😂 😂 👌Ukizaa toto nafiki kama hili litakuja ata kukuia kabisa mzazi pasco ni mtu hatari sana
SGR DAR MORO unasafirisha mzigo wa nani... acheni uzwazwa yaani nibebe mzigo wangu afu ushuke moro afu niubebe tena utafika lini kigoma? endeleeni tu na usanii wenuUsiwe na wasiwasi, reli ya SGR ipo, treni zinawasili, safari ya DAR Moro kuzinduliwa soon.
P
Mkuu @kurizawa, jf tuko watu wa aina tofauti tofauti, hata baada ya kuitwa litoto, ukigundua aliyekuita toto amekosea kitu mahali, unamrekebisha, hapo ulipoandika "kukuoa", hakuna neno la Kiswahili "kukuia" hivyo naamini ulidhamiria kuandika "kukuua". Rekebisha na uwe na siku njema.Ukizaa toto nafiki kama hili litakuja ata kukuia kabisa mzazi pasco ni mtu hatari sana
Mkuu MWALLA, baadhi ya matamshi ya Kiswahili, yanatokana na lugha za asili za makabila yetu, mfano neno mama kwa lugha nyingi za kibantu ni mama, mae, mayo, Mayu, nina na nyoko, ukitanguliza lile tusi la K, kabla ya jina lolote la mama, ni kutukana tusi la nguoni, lakini hata ukilitaja tuu kwa hasira hilo jina la mama, bila kulitaja tusi la K, utakayemtajia mfano "*****" , "nyoko", "manina", "mamayo" etc, unayemwambia atajiona unamtukana!.mayala kikwetu ni NJAA KALI
Mpaka leo yupo kijiweni kama sisiHivi ndivyo ukuu wa wilaya unavyotafutwa
Kazi nzuri sana Rais SamiaRais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania alifanya mabadiliko ya kiutendaji ikiwa ni pamoja na kumuondoa aliyekuwa Katibu Mkuu kiongozi Dokta Bashiru Ali na kumteua kuwa mbunge.
Je, wachambuzi wanazungumzia vipi hatua hii?
Msikilize mchambuzi wa siasa za Tanzania, Pascal Mayalla akichambua kwa kina kuhusiana na kile kinachoonekana kama anguko la msomi huyo.
View attachment 1817783
Aliyekuita njaa kashakufa kitambo sn na wewe jirekebishe sifia panapofaa na kusoa panapofaa kukosoaMkuu MWALLA, baadhi ya matamshi ya Kiswahili, yanatokana na lugha za asili za makabila yetu, mfano neno mama kwa lugha nyingi za kibantu ni mama, mae, mayo, Mayu, nina na nyoko, ukitanguliza lile tusi la K, kabla ya jina lolote la mama, ni kutukana tusi la nguoni, lakini hata ukilitaja tuu kwa hasira hilo jina la mama, bila kulitaja tusi la K, utakayemtajia mfano "*****" , "nyoko", "manina", "mamayo" etc, unayemwambia atajiona unamtukana!.
Neno Mayalla Kwa Kisukuma sio njaa kali ya tumbo kuhitaji chakula, ni njaa ya baa la njaa kutokana na ukame, drought famines, dawa yake ni kunyesha kwa mvua. Mtu akisema Mayalla maana yake ni njaa, naona kama ni kunitukana mimi ni mtu wa njaa sana, japo pia kiukweli kauli nyingine huumba, kabla ya kuitwa njaa, nilikuwa na ofisi mjini kati, kodi tuu ya pango ni mshahara wa DC, nilikuwa nimeajiri vijana 20. Nilikuwa na tenda 6 za serikali ikiwemo tenda ya baada ya kuitwa njaa, kwanza tenda zote zikakata!. Nikashindwa kulipa pango la ofisi nikahamia Posta House, kwenye kajichumba.
Nikashi mydwa kulipa mishahara ya wafanyakazi, nikapunga wafanyakazi, tukabaki 5, na njaa kali ya tumbo ikanitembelea.
Sasa mambo yamebadilika naombeni sana msiendelee kuniita haya majina cursed ya cursed names!. Please nihurumieni ili nisife njaa.
P
Muoneeni huruma ndugu yangu Paskali.Mkuu MWALLA, baadhi ya matamshi ya Kiswahili, yanatokana na lugha za asili za makabila yetu, mfano neno mama kwa lugha nyingi za kibantu ni mama, mae, mayo, Mayu, nina na nyoko, ukitanguliza lile tusi la K, kabla ya jina lolote la mama, ni kutukana tusi la nguoni, lakini hata ukilitaja tuu kwa hasira hilo jina la mama, bila kulitaja tusi la K, utakayemtajia mfano "*****" , "nyoko", "manina", "mamayo" etc, unayemwambia atajiona unamtukana!.
Neno Mayalla Kwa Kisukuma sio njaa kali ya tumbo kuhitaji chakula, ni njaa ya baa la njaa kutokana na ukame, drought famines, dawa yake ni kunyesha kwa mvua. Mtu akisema Mayalla maana yake ni njaa, naona kama ni kunitukana mimi ni mtu wa njaa sana, japo pia kiukweli kauli nyingine huumba, kabla ya kuitwa njaa, nilikuwa na ofisi mjini kati, kodi tuu ya pango ni mshahara wa DC, nilikuwa nimeajiri vijana 20. Nilikuwa na tenda 6 za serikali ikiwemo tenda ya baada ya kuitwa njaa, kwanza tenda zote zikakata!. Nikashindwa kulipa pango la ofisi nikahamia Posta House, kwenye kajichumba.
Nikashi mydwa kulipa mishahara ya wafanyakazi, nikapunga wafanyakazi, tukabaki 5, na njaa kali ya tumbo ikanitembelea.
Sasa mambo yamebadilika naombeni sana msiendelee kuniita haya majina cursed ya cursed names!. Please nihurumieni ili nisife njaa.
P
Hapa Pascal Mayalla alikuwa akinjaza upepo matakoni yule maiti wa ChatoNikiwaambia Bwana Paskalj Ni mpuuzi muwe mnaelewa[emoji116]
Mebeberu wana malengo na Tanzania? Waanza uzushi wa fujo baada ya JPM, CCM Kushinda. Wamzushia Magufuli ni dikteta. Kwanini tunanyamaza?
Wanabodi, Kuhusu Uchaguzi Mkuu wetu na ushindi wa kishindo wa JPM na CCM, huko nyuma niliwahi kutoa angalizo hili muhimu la kiusalama Security alert kwa Serikali yetu, tuwe makini sana na Marekani: Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya? Kabla ya hapo...www.jamiiforums.com
Mkuu field marshall1 , asante, we are all humans, tumeumbwa kwa udongo tuu na tukapewa miili ya nyama, hivyo ukiuminya unaumia!.Muoneeni huruma ndugu yangu Paskali.
Mkuu KISIWAGA , heshima ni kitu cha bure!, tuwaheshimu marehemu wetu.Hapa Pascal Mayalla alikuwa akinjaza upepo matakoni yule maiti wa Chato
Mkuu Bejamini Netanyahu, this is how I am, and always been, nasifia vile tuu vitu vya ukweli vinavyo stahili sifa na kukosoa vitu vinavyostahili kukosolewa.Aliyekuita njaa kashakufa kitambo sn na wewe jirekebishe sifia panapofaa na kusoa panapofaa kukosoa
Mkuu Bejamini Netanyahu , no!, kusema leo yupo kijiweni as if uwepo wangu kijiweni ni transit only, wakati ukweli wenyewe mimi ni mtu wa kijiweni ndio makao yangu.Mpaka leo yupo kijiweni kama sisi
we kubali tu wazazi walikosea kukupa hilo jina. kifupi mayala ni NJAAMkuu MWALLA, baadhi ya matamshi ya Kiswahili, yanatokana na lugha za asili za makabila yetu, mfano neno mama kwa lugha nyingi za kibantu ni mama, mae, mayo, Mayu, nina na nyoko, ukitanguliza lile tusi la K, kabla ya jina lolote la mama, ni kutukana tusi la nguoni, lakini hata ukilitaja tuu kwa hasira hilo jina la mama, bila kulitaja tusi la K, utakayemtajia mfano "*****" , "nyoko", "manina", "mamayo" etc, unayemwambia atajiona unamtukana!.
Neno Mayalla Kwa Kisukuma sio njaa kali ya tumbo kuhitaji chakula, ni njaa ya baa la njaa kutokana na ukame, drought famines, dawa yake ni kunyesha kwa mvua. Mtu akisema Mayalla maana yake ni njaa, naona kama ni kunitukana mimi ni mtu wa njaa sana, japo pia kiukweli kauli nyingine huumba, kabla ya kuitwa njaa, nilikuwa na ofisi mjini kati, kodi tuu ya pango ni mshahara wa DC, nilikuwa nimeajiri vijana 20. Nilikuwa na tenda 6 za serikali ikiwemo tenda ya baada ya kuitwa njaa, kwanza tenda zote zikakata!. Nikashindwa kulipa pango la ofisi nikahamia Posta House, kwenye kajichumba.
Nikashi mydwa kulipa mishahara ya wafanyakazi, nikapunga wafanyakazi, tukabaki 5, na njaa kali ya tumbo ikanitembelea.
Sasa mambo yamebadilika naombeni sana msiendelee kuniita haya majina cursed ya cursed names!. Please nihurumieni ili nisife njaa.
P