Pascal Mayalla Ulichukia moja kwa moja. Rudi nyumbani yale yameisha

Pascal Mayalla Ulichukia moja kwa moja. Rudi nyumbani yale yameisha

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Najaribu kuvaa viatu vya Pascal Mayalla nakutana na mambo mengi. Viatu ni vya ngozi imekauka sana halafu nimevaa viatu bila soksi.vinaumiza sana.

Pascal kuna kipindi alikuwa neutral katika siasa za tanzania. Alikuwa hajajiambatanisha na chama chochote. Lakini kadri uchaguzi ulivyokaribia ndivyo alivyoanza jisogeza karibu na chama na mwishowe akabadili gear angani.

Akaenda kutana na wajumbe.wakamnafikia. akapata kura moja au mbili kama sikosei. Tena kwa kumheshimu alipata hiyo kura moja otherwise asingepata hata moja.

Akaamini angerudishwa kwa ngumu ya kijiko. Akakuta ameliwa kichwa ki kwelikweli. Siyo kwamba panga lilikwaruza shingo. Kumbe limekata.

Kwa hasira akaamua kuachana na kila kitu. Akaamua hata huku JF asiingie kabisa. Nmeshtuka hajataka hata kutoa salamu za RAMBIRAMBI KWA MH RAIS MAGUFULI. yaani ndo ametususa moja kwa moja kama vile nasi tulihusika kwenye kupiga kura.

Aache kususa hizo siyo tabia zetu. Aje huku tuendelee kuchambua siasa.
 
Najaribu kuvaa viatu vya Pascal Mayalla nakutana na mambo mengi. Viatu ni vya ngozi imekauka sana halafu nimevaa viatu bila soksi.vinaumiza sana.

Pascal kuna kipindi alikuwa neutral katika siasa za tanzania. Alikuwa hajajiambatanisha na chama chochote. Lakini kadri uchaguzi ulivyokaribia ndivyo alivyoanza jisogeza karibu na chama na mwishowe akabadili gear angani.

Akaenda kutana na wajumbe.wakamnafikia. akapata kura moja au mbili kama sikosei. Tena kwa kumheshimu alipata hiyo kura moja otherwise asingepata hata moja.

Akaamini angerudishwa kwa ngumu ya kijiko. Akakuta ameliwa kichwa ki kwelikweli. Siyo kwamba panga lilikwaruza shingo. Kumbe limekata.

Kwa hasira akaamua kuachana na kila kitu. Akaamua hata huku JF asiingie kabisa. Nmeshtuka hajataka hata kutoa salamu za RAMBIRAMBI KWA MH RAIS MAGUFULI. yaani ndo ametususa moja kwa moja kama vile nasi tulihusika kwenye kupiga kura.

Aache kususa hizo siyo tabia zetu. Aje huku tuendelee kuchambua siasa.
Mkuu Komeo Lachuma , acha kujaza savers za jf bila sababu ya msingi kwa mabandiko yasiyo na kichwa wala miguu. Mimi nipo sana tuu, humu jf na nimekaa tele, kama ni pole, nimeisha zitoa zaidi ya mia!
Karibu...
  1. https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG][/USER]

    Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!.

    Jee kila kitu kinachofanyika ni lazima itangazwe. P
  2. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

    Hapa ndio I predicted something kumhusu Samia P
  3. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

    Kufuatia JPM complaining urais ni mzigo, analala na mafaili hadi chumbani, anachoka sana, nikashauri JPM asigombee 2nd term, Samia ndio ampokee ile 2020. P
  4. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

    Ni uongo tuu wa yule mzushi wa Twitter. Wako ok. P
  5. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Amen, sala zako ziwe za kheri. P
  6. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  7. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  8. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  9. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  10. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

    Wale jamaa zetu wa naniliu, hapa ndio sebuleni kwao. P
  11. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

    What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana...
  12. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Bandiko hili ni la zamani, but what if?. P
  13. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Rais anapoteua Mawaziri wenye uwezo mdogo, Ukisema Waziri fulani ana uwezo mdogo, Je ni kumwingilia Rais katika uteuzi?

    Duh...! P
  14. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Rais anapoteua Mawaziri wenye uwezo mdogo, Ukisema Waziri fulani ana uwezo mdogo, Je ni kumwingilia Rais katika uteuzi?

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  15. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Pongezi Rais Magufuli. Ameonesha uzalendo wa hali ya juu uliotukuka!, amebadilika, amejishusha, uchumi wa Tz kupaa!

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  16. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Uzalendo wa ajabu wa Watanzania, Nchi yako inatukanwa, Rais wako anatukanwa, Tumenyamaza. Huu ni Uzalendo gani?

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  17. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    ‘Fixed’?

    Naunga mkono hoja, tena usikute kulikuwa na collaborators ndio maana hawakusema chochote na Taifa kutangaziwa tuu kifo, just like that!. RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli. Kama kuna mkono wa mtu, karma yake sii ya kitoto!. P
  18. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Rais Magufuli ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, awasikiliza Maaskofu, au awapuuze na kusimama na Mungu wake?

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  19. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri, pia tupongeze!.

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  20. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    The SGR War: MagufuliKagame vs MuseveniKenyatta ni Vita Kubwa!. Who Will Win, Loose or Its Win Win Situation?.

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. SGR ni moja ya mapigo makubwa ya vita vya Kiuchumi ambavyo Magufuli amevipiga. Japo Magufuli...
1 of 25Next Last
 
Shida yenu mnapenda kila mtu awe na mawazo kama yenu Pascal Mayalla ni mtu ambaye anatoa fact anatoa hoja zenye mashiko aropoki tu kama nyinyi watumwa wa siasa na ndio maana baadhi ya thread alizoandika zimeweza kutoka vile vile.Siku utapojitoa kwenye utumwa wa chama ndio utamuelewa Pascal mayalla
Wewe ni nani yake? 😁 Unajua mi ni chama gani? Nyie ndo huwa mnalamba viatu vya watu mpaka mwishoni wana wadharau. Umekimbilia kuandika upupu utadhani wewe ni mwandani wake.😁😁😁😁
 
Mkuu Komeo Lachuma , acha kujaza savers za jf bila sababu ya msingi kwa mabandiko yasiyo na kichwa wala miguu. Mimi nipo sana tuu, humu jf na nimekaa tele, kama ni pole, nimeisha zitoa zaidi ya mia!
Karibu...
  1. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!.

    Jee kila kitu kinachofanyika ni lazima itangazwe. P
  2. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

    Hapa ndio I predicted something kumhusu Samia P
  3. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

    Kufuatia JPM complaining urais ni mzigo, analala na mafaili hadi chumbani, anachoka sana, nikashauri JPM asigombee 2nd term, Samia ndio ampokee ile 2020. P
  4. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

    Ni uongo tuu wa yule mzushi wa Twitter. Wako ok. P
  5. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Amen, sala zako ziwe za kheri. P
  6. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  7. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  8. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  9. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  10. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

    Wale jamaa zetu wa naniliu, hapa ndio sebuleni kwao. P
  11. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

    What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana...
  12. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Bandiko hili ni la zamani, but what if?. P
  13. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Rais anapoteua Mawaziri wenye uwezo mdogo, Ukisema Waziri fulani ana uwezo mdogo, Je ni kumwingilia Rais katika uteuzi?

    Duh...! P
  14. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Rais anapoteua Mawaziri wenye uwezo mdogo, Ukisema Waziri fulani ana uwezo mdogo, Je ni kumwingilia Rais katika uteuzi?

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  15. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Pongezi Rais Magufuli. Ameonesha uzalendo wa hali ya juu uliotukuka!, amebadilika, amejishusha, uchumi wa Tz kupaa!

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  16. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Uzalendo wa ajabu wa Watanzania, Nchi yako inatukanwa, Rais wako anatukanwa, Tumenyamaza. Huu ni Uzalendo gani?

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  17. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    ‘Fixed’?

    Naunga mkono hoja, tena usikute kulikuwa na collaborators ndio maana hawakusema chochote na Taifa kutangaziwa tuu kifo, just like that!. RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli. Kama kuna mkono wa mtu, karma yake sii ya kitoto!. P
  18. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Rais Magufuli ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, awasikiliza Maaskofu, au awapuuze na kusimama na Mungu wake?

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  19. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri, pia tupongeze!.

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  20. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    The SGR War: MagufuliKagame vs MuseveniKenyatta ni Vita Kubwa!. Who Will Win, Loose or Its Win Win Situation?.

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. SGR ni moja ya mapigo makubwa ya vita vya Kiuchumi ambavyo Magufuli amevipiga. Japo Magufuli...
1 of 25Next Last
Safi sana. Hapa nimekupata. Sasa tuhamie kwa Mama yetu Samia Salum.

Natumaini kwa sasa umekubaliana na hali na maisha yanaendelea? Tuendelee kukaza kamba bro tusiache kupambana na kupambania nasi siku yetu ipo tu. Wanaweza watu kutucheka na kutukebehi lakini ipo siku tu. One love braza
 
Kule twitter Mashangazi wamembagaza mpaka akawa mdogo ,alisema eti JPM alikuwa yupo mzima wa afya ila yupo kwenye NOVENA

Najaribu kuvaa viatu vya Pascal Mayalla nakutana na mambo mengi. Viatu ni vya ngozi imekauka sana halafu nimevaa viatu bila soksi.vinaumiza sana.

Pascal kuna kipindi alikuwa neutral katika siasa za tanzania. Alikuwa hajajiambatanisha na chama chochote. Lakini kadri uchaguzi ulivyokaribia ndivyo alivyoanza jisogeza karibu na chama na mwishowe akabadili gear angani.

Akaenda kutana na wajumbe.wakamnafikia. akapata kura moja au mbili kama sikosei. Tena kwa kumheshimu alipata hiyo kura moja otherwise asingepata hata moja.

Akaamini angerudishwa kwa ngumu ya kijiko. Akakuta ameliwa kichwa ki kwelikweli. Siyo kwamba panga lilikwaruza shingo. Kumbe limekata.

Kwa hasira akaamua kuachana na kila kitu. Akaamua hata huku JF asiingie kabisa. Nmeshtuka hajataka hata kutoa salamu za RAMBIRAMBI KWA MH RAIS MAGUFULI. yaani ndo ametususa moja kwa moja kama vile nasi tulihusika kwenye kupiga kura.

Aache kususa hizo siyo tabia zetu. Aje huku tuendelee kuchambua siasa.
 
Safi sana. Hapa nimekupata. Sasa tuhamie kwa Mama yetu Samia Salum.

Natumaini kwa sasa umekubaliana na hali na maisha yanaendelea? Tuendelee kukaza kamba bro tusiache kupambana na kupambania nasi siku yetu ipo tu. Wanaweza watu kutucheka na kutukebehi lakini ipo siku tu. One love braza
Uwe kama umeridhika na hapo ulipofika "kisiasa, kiuchumi, na kiuongozi". Halafu iwapo mnahitaji kuingia kwenye siasa "kuwania ubunge au urais" basi anzieni kwenye mikakati kabla ya uchaguzi kufika.

Mwaka 2010, 2015, na 2020 nami nimegombea ubunge na mara zote nimekuwa wa pili kura za wajumbe - naanguka sababu ya mikakati. paschal Mayalla ni mkomavu hata asipopata nafasi yoyote ya kuchaguliwa au kuteuliwa si sababu ni mbaya NO ni sababu ya chama chake kuwa na hazina kubwa ya wafuasi wenye sifa.

R.I.P Jemedari wetu

Otherwise dreams zako ni nzuri!
 
Uwe kama umeridhika na hapo ulipofika "kisiasa, kiuchumi, na kiuongozi". Halafu iwapo mnahitaji kuingia kwenye siasa "kuwania ubunge au urais" basi anzieni kwenye mikakati kabla ya uchaguzi kufika.

Mwaka 2010, 2015, na 2020 nami nimegombea ubunge na mara zote nimekuwa wa pili kura za wajumbe - naanguka sababu ya mikakati. paschal Mayalla ni mkomavu hata asipopata nafasi yoyote ya kuchaguliwa au kuteuliwa si sababu ni mbaya NO ni sababu ya chama chake kuwa na hazina kubwa ya wafuasi wenye sifa.

R.I.P Jemedari wetu

Otherwise dreams zako ni nzuri!
Thanks Mkuu Kabende Msakila , pole sana.
RIP Jemedari wetu JPM.
P
 
Kumbe yupo 😀, safari iendelee ila kwakweli PASCAL aliandika mengi kuhusu mh Jpm na kushauri mengi sema kwakuwa sio sehemu ya system hawakumsikiliza wakaamua kumsililiza Bashite na Sabaya wasioona mbali. Niwakati wa Mama Samia kumpaa P hata ukurugenzi anafaaa sana.
 
Shida yenu mnapenda kila mtu awe na mawazo kama yenu Pascal Mayalla ni mtu ambaye anatoa fact anatoa hoja zenye mashiko aropoki tu kama nyinyi watumwa wa siasa na ndio maana baadhi ya thread alizoandika zimeweza kutoka vile vile.Siku utapojitoa kwenye utumwa wa chama ndio utamuelewa Pascal mayalla
Ya ngoswe waachie....
 
bandiko lake moja la lilichangia sana katika kumchongea kabendera.

ningekuwa mimi ndio pasco, ningefunga safari mpaka kwenye kaburi la mama yake kabendera kuomba msamaha kwa yale niliyoyafanya kwa mwanae.

uchawa, unafiki na kujipendekeza ni kitu kibaya sana, maana mwisho wa siku kuna watu wanaumia.
 
Back
Top Bottom