Pascal Mayalla Ulichukia moja kwa moja. Rudi nyumbani yale yameisha

Pascal Mayalla Ulichukia moja kwa moja. Rudi nyumbani yale yameisha

Thanks Mkuu Kabende Msakila , pole sana.
RIP Jemedari wetu JPM.
P
Ila mkuu Pascal Mayalla! ikikupendeza, rudi kundini. Mchango wako humu ni muhimu sana! Ingawa kuna wadau wachache huwa wanakuchukulia poa poa tu! Na ukijumlisha na lile tukio la kumuunga mkono Gwajiboy, ndiyo ukawatibua kabisaaa!! 😃😃😃

Na kama uliadimika kwa sababu tu ya majukumu binafsi, basi yakikamilika, unakaribishwa sana JF. Wewe ni mmoja kati ya wajumbe wachache ambao ninawaheshimu na kuwakubali sana humu jukwaani.
 
Mkuu Komeo Lachuma , acha kujaza savers za jf bila sababu ya msingi kwa mabandiko yasiyo na kichwa wala miguu. Mimi nipo sana tuu, humu jf na nimekaa tele, kama ni pole, nimeisha zitoa zaidi ya mia!
Karibu...
  1. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!.

    Jee kila kitu kinachofanyika ni lazima itangazwe. P
  2. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

    Hapa ndio I predicted something kumhusu Samia P
  3. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

    Kufuatia JPM complaining urais ni mzigo, analala na mafaili hadi chumbani, anachoka sana, nikashauri JPM asigombee 2nd term, Samia ndio ampokee ile 2020. P
  4. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

    Ni uongo tuu wa yule mzushi wa Twitter. Wako ok. P
  5. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Amen, sala zako ziwe za kheri. P
  6. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  7. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  8. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  9. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  10. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

    Wale jamaa zetu wa naniliu, hapa ndio sebuleni kwao. P
  11. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

    What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana...
  12. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Bandiko hili ni la zamani, but what if?. P
  13. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Rais anapoteua Mawaziri wenye uwezo mdogo, Ukisema Waziri fulani ana uwezo mdogo, Je ni kumwingilia Rais katika uteuzi?

    Duh...! P
  14. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Rais anapoteua Mawaziri wenye uwezo mdogo, Ukisema Waziri fulani ana uwezo mdogo, Je ni kumwingilia Rais katika uteuzi?

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  15. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Pongezi Rais Magufuli. Ameonesha uzalendo wa hali ya juu uliotukuka!, amebadilika, amejishusha, uchumi wa Tz kupaa!

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  16. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Uzalendo wa ajabu wa Watanzania, Nchi yako inatukanwa, Rais wako anatukanwa, Tumenyamaza. Huu ni Uzalendo gani?

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  17. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    ‘Fixed’?

    Naunga mkono hoja, tena usikute kulikuwa na collaborators ndio maana hawakusema chochote na Taifa kutangaziwa tuu kifo, just like that!. RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli. Kama kuna mkono wa mtu, karma yake sii ya kitoto!. P
  18. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Rais Magufuli ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, awasikiliza Maaskofu, au awapuuze na kusimama na Mungu wake?

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  19. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri, pia tupongeze!.

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  20. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    The SGR War: MagufuliKagame vs MuseveniKenyatta ni Vita Kubwa!. Who Will Win, Loose or Its Win Win Situation?.

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. SGR ni moja ya mapigo makubwa ya vita vya Kiuchumi ambavyo Magufuli amevipiga. Japo Magufuli...
1 of 25Next Last
Hizi Zote ni nyuzi By Pasco.Ama kweli huyu atakuwa ''CHOIR MASTER'' ya ''PRAISE TEAM''!!
 
Kuna watu wakikosekana JF ,pengo lao linaonekana wazi akiwemo Pasco.
Waliokuwepo early 2010s wanalijua hilo.

Japo alikuwa kimya kwa kipindi lakini nilikuwa namwona members online.

Kuna huyu mama @faizafox kaadimika kabisa.
Ila yote ni mema.
 
bandiko lake moja la lilichangia sana katika kumchongea kabendera.

ningekuwa mimi ndio pasco, ningefunga safari mpaka kwenye kaburi la mama yake kabendera kuomba msamaha kwa yale niliyoyafanya kwa mwanae.

uchawa, unafiki na kujipendekeza ni kitu kibaya sana, maana mwisho wa siku kuna watu wanaumia.
Hii dhambi itamwandama milele,na ndio maana pamoja na kumsifu na kumwamudu mungu mtu Jiwe hakuna chochote alichoambulia.
 
Mkuu Komeo Lachuma , acha kujaza savers za jf bila sababu ya msingi kwa mabandiko yasiyo na kichwa wala miguu. Mimi nipo sana tuu, humu jf na nimekaa tele, kama ni pole, nimeisha zitoa zaidi ya mia!
Karibu...
  1. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!.

    Jee kila kitu kinachofanyika ni lazima itangazwe. P
  2. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

    Hapa ndio I predicted something kumhusu Samia P
  3. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

    Kufuatia JPM complaining urais ni mzigo, analala na mafaili hadi chumbani, anachoka sana, nikashauri JPM asigombee 2nd term, Samia ndio ampokee ile 2020. P
  4. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

    Ni uongo tuu wa yule mzushi wa Twitter. Wako ok. P
  5. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Amen, sala zako ziwe za kheri. P
  6. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  7. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  8. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  9. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  10. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

    Wale jamaa zetu wa naniliu, hapa ndio sebuleni kwao. P
  11. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

    What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana...
  12. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Bandiko hili ni la zamani, but what if?. P
  13. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Rais anapoteua Mawaziri wenye uwezo mdogo, Ukisema Waziri fulani ana uwezo mdogo, Je ni kumwingilia Rais katika uteuzi?

    Duh...! P
  14. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Rais anapoteua Mawaziri wenye uwezo mdogo, Ukisema Waziri fulani ana uwezo mdogo, Je ni kumwingilia Rais katika uteuzi?

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  15. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Pongezi Rais Magufuli. Ameonesha uzalendo wa hali ya juu uliotukuka!, amebadilika, amejishusha, uchumi wa Tz kupaa!

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  16. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Uzalendo wa ajabu wa Watanzania, Nchi yako inatukanwa, Rais wako anatukanwa, Tumenyamaza. Huu ni Uzalendo gani?

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  17. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    ‘Fixed’?

    Naunga mkono hoja, tena usikute kulikuwa na collaborators ndio maana hawakusema chochote na Taifa kutangaziwa tuu kifo, just like that!. RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli. Kama kuna mkono wa mtu, karma yake sii ya kitoto!. P
  18. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Rais Magufuli ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, awasikiliza Maaskofu, au awapuuze na kusimama na Mungu wake?

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  19. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri, pia tupongeze!.

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  20. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    The SGR War: MagufuliKagame vs MuseveniKenyatta ni Vita Kubwa!. Who Will Win, Loose or Its Win Win Situation?.

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. SGR ni moja ya mapigo makubwa ya vita vya Kiuchumi ambavyo Magufuli amevipiga. Japo Magufuli...
1 of 25Next Last
Nimecheka kwa nguvu, eti anajaza server za jf. Ila kiukweli bro Umepotea sana hapa jukwaani siku za karibuni, na umepata tabia fulani ya makasiriko.
 
Mkuu Komeo Lachuma , acha kujaza savers za jf bila sababu ya msingi kwa mabandiko yasiyo na kichwa wala miguu. Mimi nipo sana tuu, humu jf na nimekaa tele, kama ni pole, nimeisha zitoa zaidi ya mia!
Karibu...
  1. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!.

    Jee kila kitu kinachofanyika ni lazima itangazwe. P
  2. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

    Hapa ndio I predicted something kumhusu Samia P
  3. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

    Kufuatia JPM complaining urais ni mzigo, analala na mafaili hadi chumbani, anachoka sana, nikashauri JPM asigombee 2nd term, Samia ndio ampokee ile 2020. P
  4. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

    Ni uongo tuu wa yule mzushi wa Twitter. Wako ok. P
  5. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Amen, sala zako ziwe za kheri. P
  6. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  7. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Ikitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  8. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  9. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko. P
  10. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

    Wale jamaa zetu wa naniliu, hapa ndio sebuleni kwao. P
  11. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, Kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga Kutu-Libya?

    What if, baada ya njia zote ikishindikana, wakatumia conspiracy theory fulani kutimiza malengo yao?. Maana baada ya ushindi wa kishindo wa rais Magufuli na CCM, sikumbuki Marekani kumpongeza kwa ushindi, na hata baada ya kifo cha rais Magufuli, Marekani haijatoa pole yoyote, lakini jana...
  12. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?

    Bandiko hili ni la zamani, but what if?. P
  13. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Rais anapoteua Mawaziri wenye uwezo mdogo, Ukisema Waziri fulani ana uwezo mdogo, Je ni kumwingilia Rais katika uteuzi?

    Duh...! P
  14. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Rais anapoteua Mawaziri wenye uwezo mdogo, Ukisema Waziri fulani ana uwezo mdogo, Je ni kumwingilia Rais katika uteuzi?

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  15. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Pongezi Rais Magufuli. Ameonesha uzalendo wa hali ya juu uliotukuka!, amebadilika, amejishusha, uchumi wa Tz kupaa!

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  16. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Uzalendo wa ajabu wa Watanzania, Nchi yako inatukanwa, Rais wako anatukanwa, Tumenyamaza. Huu ni Uzalendo gani?

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  17. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    ‘Fixed’?

    Naunga mkono hoja, tena usikute kulikuwa na collaborators ndio maana hawakusema chochote na Taifa kutangaziwa tuu kifo, just like that!. RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli. Kama kuna mkono wa mtu, karma yake sii ya kitoto!. P
  18. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Rais Magufuli ni mpango wa Mungu kwa Tanzania, awasikiliza Maaskofu, au awapuuze na kusimama na Mungu wake?

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  19. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri, pia tupongeze!.

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele...
  20. [IMG alt="Pascal Mayalla"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121[/IMG]

    The SGR War: MagufuliKagame vs MuseveniKenyatta ni Vita Kubwa!. Who Will Win, Loose or Its Win Win Situation?.

    Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi. SGR ni moja ya mapigo makubwa ya vita vya Kiuchumi ambavyo Magufuli amevipiga. Japo Magufuli...
1 of 25Next Last
Sasa hapa wewe ndo umejaza saver hahahaaa
 
anaonekana twitter na kila akijibu hoja kwa Maria Stehai Sarungi yule dada anamjibu Pasco kwa spanner kali sana
 
Back
Top Bottom