30 Agosti 2020
Mlowo, Mbozi
Songwe.
Mgombea Mbunge kupitia Chama cha CHADEMA azindua kampeni ya Ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 mbele ya mkutano wake mkubwa wa kwanza jimboni Mbozi mkoani Songwe.
Mgombea Paschal Haonga akiwania kuchaguliwa kwa mara nyingine kupitia CHADEMA leo tarehe 27 Agosti 2020 amewaomba pia wamchague Tundu Lissu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa kura nyingi hapo Oktoba 28 2020.
Mlowo, Mbozi
Songwe.
Mgombea Mbunge kupitia Chama cha CHADEMA azindua kampeni ya Ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 mbele ya mkutano wake mkubwa wa kwanza jimboni Mbozi mkoani Songwe.
Mgombea Paschal Haonga akiwania kuchaguliwa kwa mara nyingine kupitia CHADEMA leo tarehe 27 Agosti 2020 amewaomba pia wamchague Tundu Lissu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa kura nyingi hapo Oktoba 28 2020.