Nimekuwa nikifuatilia mienendo ya siasa za nchi kwa miaka mingi sasa. Nchi hii imebariki watu wenye vipawa mbalimbali.
Tasnia ya siasa imekuwa inaheshimika kwa miaka kadhaa sasa. Kipindi hiki kimeshuhudia kushuka kwa hadhi ya tasnia hii kutokana na wimbi kubwa la wanasiasa uchwara wenye kupigania zaidi matumbo yao kuliko wananchi masikini wa nchi hii.
Mmoja wa watangaza nia ndugu Mayalla ni miongoni mwao. Kiukweli nilikuwa nakuheshimu sana ila nilikuona mtu apendaye kucomplicate vitu vidogo vidogo. Nimefuatilia michango yako hasa huko Star Tv ukiishauri TCRA kufunga twitter nikajiuliza hivi hiyo ndo akili ya mtia nia atakaye kuwaletea maendeleo watu?
Wananchi wana kero nyingi ambazo TCRA wanapaswa kuzitatua kama gharama za vifurushi vya internet , tatizo la kukosekana mtandao maeneo ya vijijini n.k
Kushauri twitter ifungwe siyo suluhu la matatizo yetu. Acha unafiki na uchumia tumbo. Hufai kuwa kiongozi tafuta kazi nyingine.
Tasnia ya siasa imekuwa inaheshimika kwa miaka kadhaa sasa. Kipindi hiki kimeshuhudia kushuka kwa hadhi ya tasnia hii kutokana na wimbi kubwa la wanasiasa uchwara wenye kupigania zaidi matumbo yao kuliko wananchi masikini wa nchi hii.
Mmoja wa watangaza nia ndugu Mayalla ni miongoni mwao. Kiukweli nilikuwa nakuheshimu sana ila nilikuona mtu apendaye kucomplicate vitu vidogo vidogo. Nimefuatilia michango yako hasa huko Star Tv ukiishauri TCRA kufunga twitter nikajiuliza hivi hiyo ndo akili ya mtia nia atakaye kuwaletea maendeleo watu?
Wananchi wana kero nyingi ambazo TCRA wanapaswa kuzitatua kama gharama za vifurushi vya internet , tatizo la kukosekana mtandao maeneo ya vijijini n.k
Kushauri twitter ifungwe siyo suluhu la matatizo yetu. Acha unafiki na uchumia tumbo. Hufai kuwa kiongozi tafuta kazi nyingine.