Uchaguzi 2020 Paschal Mayalla hufai hata kuongoza kitongoji

Hichilema,
!
Bro Usimlaumu Bure Mzee Wa Watu. Uwezo Wake Wa Kufikiria Ndio Umeishia Hapo Ulitaka Afanyaje? Besides, Unajua Chama Anachotokea Huwa Kinauwezo Wa Kumbadilisha Mtu Kutoka Polepole Wa Katiba Mpya Mpaka Huyu Mwenezi Wa Sisiem. Kwa Hiyo Kwa Maoni Ynagu Kama Kasema Hivyo Mpongeze Kajitahidi Sana. Maana Usijeshangaa Siku Nyingine Akasema Internet Na Mitandao Izimwe Yote Turudi Kwenye Sanduku La Posta
 

Mkuu, baba wa taifa (rip) kwa watu wa namna hii aliwahi kusema, "mtu anasema anachukia rushwa, lakini ukimwangalia usoni unajiuliza. Huyu?! Kweli anachukia rushwa huyu?" Mwisho wa kumnukuu.

Kwa hii njaa kali iliyopo huku kitaa kwa sasa na athari za covid, si bure. Mwamba naye mwisho kaamua kusuka, yanini bwana? Atakuwa ameamua kuachana na kunyoa baada kugundua hawezi kutoboa. Atakuwa amejiridhisha kuwa hii njaa itammaliza akiangalia!

Mkuu, wa hivyo huku kitaa hayuko peke yake, yuko na wenzake. Wapo wengi tu, wengi wa kumwaga. Bila kusahau kuwa hata huku mitandaoni nako pia wapo!

Maajabu ya Mussa yako hivi, kufa kufaana 'ngwengwe' nayo si bado inatambaa kimugongo mugongo mkuu? Subiri kidogo, utasikia chief tayari kala, wenyewe wanaita kala 'bingo.' Yaani karamba uteuzi.

Mkuu karibu kitaa. Wenyewe wanaita akili mkichwa!

Hiiiii bagosha!
 
Kazi ipo kweli kweli jukwaa mchanyato, kaka Mayalla labda uje mwenyewe, mimi sijaelewa unabezwa, unapondwa, unaelimishwa, au mtu kaja na hoja kinzani kujibu hoja yako.!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…