Paschal Msindo for now is better than Mohamed Hussein

Paschal Msindo for now is better than Mohamed Hussein

Wakuu Tutaendelea kuwa kichwa cha mwemda wazimu tu

Ujinga alioufanya Tshabalala Leo tumeuona ni muemdelezo tu

Tuache kuabudu majina Msindo alistahili kucheza LB
Alidiwa tu maarifa na yule kijana lakini na umri pia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukikua utaacha
 
Shabalala alifanya makosa lakini badala ya kujadili makosa yake mnaleta usimba na uyanga, hivi mwamnyeto alivyoshika mpira eneo la penati box na refa akapeta mbona hamuongelei.
 
Back
Top Bottom