Akitaka arudi aimbe nyimbo style za kinaigeria ndo atahit sio aimbe kama best naso
😱best naso????
Huyo huyo kwan vp
Basi tuu.. Hakuna kitu mkuu, swagaa tuuu uuuuh
Pasha aje na melody za kuchezeka sasa sio kulia lia mapeeenzi tu
aliimbaga wimbo gani hivi
Tatizo Nyota
"Sivibaaayaa kumpenda mtoto hidaaayaaa" ushamjua
hivi na ule wimbo wa Selina, wapambe tusiwakubali.
aliimbaga wimbo gani hivi