Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa zake ni kuwa na elimu ya Form four lakini pia uwe umafaulu angalau kwa alama ya D katika masomo ya Biologia na Kemia. Pia lazima uwe physically fiti maana unasoma masomo ya kupambana na majangili maporini kwenye hifadhi za taifa.Kimesajiliwa na ni cha serikali