Paskali Mayala ni Mchezaji Mzuri sana, eleweni!

Paskali Mayala ni Mchezaji Mzuri sana, eleweni!

Tila-lila2

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2019
Posts
652
Reaction score
1,058
Wengi wamekuwa wakimtabiria kuwa pengine anajikomba ili apewe nafasi. Nakuhakikishia sio kabisa. Ninavyomsoma between the lines, Paskali anawananga sana hawa watawala. Nimehisi inawezekana alishasemwa uso kwa uso na kukanywa sasa kwa kuwa yeye ni mwandishi mzuri na kwa kutumia tasnia yake ya Sheria amekuwa akiandika kwa namna ya kuwananga hao watawala kwa matendo yao kama vile anawasifia.

Mfano kwenye threads zake anapoongelea "ushindi wa kishindo" wa Serikali za Mitaa ukisoma vizuri sentensi husika yaani anakuwa haamaanishi km ni ushindi wa wa kishindo kweli ila anamaanisha ushindi wa kibabe. Ili uweze kumwelewa vizuri unatakiwa usome kila neno lake.

Nawahakikishia Paskali yupo upande wa opposition, tena ni opposition ile mbaya sana sana. Nina uhakika wanamfahamu na hawawezi kufanya kosa wampe nafasi yeyote kule hata U-DC anaotabiriwa na wengine. Mimi ninaamini kabisa Paskali anawasaidia zaidi watu wa opposition kuliko wa CCM na hivyo tunapaswa kumsoma vizuri sana sababu anafungua watu macho.

Jaribu kusoma vizuri threads zake utaniambia!

N.B. Moderator naomba hii thread isihamishwe kutoka Jukwa la Siasa ambapo niliiweka mimi kwa sababu Paskali kule ni mdau wetu mkubwa.
 
Wengi wamekuwa wakimtabiria kuwa pengine anajikomba ili apewe nafasi. Nakuhakikishia sio kabisa. Ninavyomsoma between the lines, Paskali anawananga sana hawa watawala. Nimehisi inawezekana alishasemwa uso kwa uso na kukanywa sasa kwa kuwa yeye ni mwandishi mzuri na kwa kutumia tasnia yake ya Sheria amekuwa akiandika kwa namna ya kuwananga hao watawala kwa matendo yao kama vile anawasifia. Mfano kwenye threads zake anapoongelea "ushindi wa kishindo" wa Serikali za Mitaa ukisoma vizuri sentensi husika yaani anakuwa haamaanishi km ni ushindi wa wa kishindo kweli ila anamaanisha ushindi wa kibabe. Ili uweze kumwelewa vizuri unatakiwa usome kila neno lake.
Nawahakikishia Paskali yupo upande wa opposition, tena ni opposition ile mbaya sana sana. Nina uhakika wanamfahamu na hawawezi kufanya kosa wampe nafasi yeyote kule hata U-DC anaotabiriwa na wengine. Mimi ninaamini kabisa Paskali anawasaidia zaidi watu wa opposition kuliko wa CCM na hivyo tunapaswa kumsoma vizuri sana sababu anafungua watu macho. Jaribu kusoma vizuri threads zake utaniambia!
Kwahiyo unamsemelea asiwe Msemaji mkuu wa serikali!
 
Sielewi kwanini kila siku zinakuja nyuzi za kumzumguzia huyu jamaa!
Itakuwa in yeye mwenyewe anakuja kujisifia kwa kutumia ID nyingine! Maana tangu teuzi zimpite anahaha kila siku.
Siamini kama mtu na akili zako za ukweli unaweza kuja kumsifia hapa eti umemjua kupitia uandishi wake!
Tena mleta mada itakuwa ndie uliyeleta mada iliyopita kumzungumzia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sielewi kwanini kila siku zinakuja nyuzi za kumzumguzia huyu jamaa!
Itakuwa in yeye mwenyewe anakuja kujisifia kwa kutumia ID nyingine! Maana tangu teuzi zimpite anahaha kila siku.
Siamini kama mtu na akili zako za ukweli unaweza kuja kumsifia hapa eti umemjua kupitia uandishi wake!
Tena mleta mada itakuwa ndie uliyeleta mada iliyopita kumzungumzia!

Sent using Jamii Forums mobile app
Pascal hasubiri teuzi bwashee!
 
Sielewi kwanini kila siku zinakuja nyuzi za kumzumguzia huyu jamaa!
Itakuwa in yeye mwenyewe anakuja kujisifia kwa kutumia ID nyingine! Maana tangu teuzi zimpite anahaha kila siku.
Siamini kama mtu na akili zako za ukweli unaweza kuja kumsifia hapa eti umemjua kupitia uandishi wake!
Tena mleta mada itakuwa ndie uliyeleta mada iliyopita kumzungumzia!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mie nimekuja kivyangu tu sina ukaribu wowote na huyu bhana zaidi ya kuona picha zake tu. Hata kuonana sijawahi kabisa kuonana naye - nikija Dar nimekaa sana labda namaliza majuma mawili. Kwetu Idukilo - Kishapu - Shinyanga - wapi na wapi na Mnyamwezi wa Dar mimi!
 
Sielewi kwanini kila siku zinakuja nyuzi za kumzumguzia huyu jamaa!
Itakuwa in yeye mwenyewe anakuja kujisifia kwa kutumia ID nyingine! Maana tangu teuzi zimpite anahaha kila siku.
Siamini kama mtu na akili zako za ukweli unaweza kuja kumsifia hapa eti umemjua kupitia uandishi wake!
Tena mleta mada itakuwa ndie uliyeleta mada iliyopita kumzungumzia!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekua zinakuja nyuzi ya kukuzungumzia wewe na kukusifia ungeandika hicho ulichokiandika hapo juu? Nauliza tu.
 
Wewe unamsemea kwanini kwasababu sisi tunasoma maandishi yake ambayo kimsingi ndiyo yanayowakilisha hisia na mtazamo wake na wewe unamsemea kulingana na hisia na mtazamo wako, lakini mimi naamini kile anachokiandika paschal ndo ualisia wakile anachokimaanisha kwasababu sijaona fasihi yoyote kwenye maandishi yake.Kwahiyo hakuna sababu yakusumbua watu kusoma maandishi kinyume nyume wakati yameandikwa straight.
 
Huyu siye yule paskali tuliyemtuma kama wanaJF aende kuuliza maswali kwa JPM alipowakaribisha ikulu!Nadhani aliyeenda na aliyerudi watu wawili tofauti!
Hana tena guts!
Tena akaambiwa,wewe ni bwana Manjaa.
 
Wengi wamekuwa wakimtabiria kuwa pengine anajikomba ili apewe nafasi. Nakuhakikishia sio kabisa. Ninavyomsoma between the lines, Paskali anawananga sana hawa watawala. Nimehisi inawezekana alishasemwa uso kwa uso na kukanywa sasa kwa kuwa yeye ni mwandishi mzuri na kwa kutumia tasnia yake ya Sheria amekuwa akiandika kwa namna ya kuwananga hao watawala kwa matendo yao kama vile anawasifia.

Mfano kwenye threads zake anapoongelea "ushindi wa kishindo" wa Serikali za Mitaa ukisoma vizuri sentensi husika yaani anakuwa haamaanishi km ni ushindi wa wa kishindo kweli ila anamaanisha ushindi wa kibabe. Ili uweze kumwelewa vizuri unatakiwa usome kila neno lake.

Nawahakikishia Paskali yupo upande wa opposition, tena ni opposition ile mbaya sana sana. Nina uhakika wanamfahamu na hawawezi kufanya kosa wampe nafasi yeyote kule hata U-DC anaotabiriwa na wengine. Mimi ninaamini kabisa Paskali anawasaidia zaidi watu wa opposition kuliko wa CCM na hivyo tunapaswa kumsoma vizuri sana sababu anafungua watu macho.

Jaribu kusoma vizuri threads zake utaniambia!

N.B. Moderator naomba hii thread isihamishwe kutoka Jukwa la Siasa ambapo niliiweka mimi kwa sababu Paskali kule ni mdau wetu mkubwa.
Hilo linafahamika.

Uzuri wake kwenye mazuri anasifu waziwazi na kwenye mabaya anatumia fasihi kali kuwasema.

Hataki kuitwa tena Dodoma..😂 😂 😂
 
Pascal ni mbabaishaji, mtu jasiri huwa hapindishi maneno kama akina Lissu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kupitia kitabu hiki Dr anasema Mh Lissu pia ni mtu wa kuyumba yumba Dr slaa kasema sio mimi lkn...
tapatalk_jpeg_1581335643965.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom