Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Utopia ni delusional ya Thomas More , and it does not exist .Be informed!
Suala la Mama kwenda Nairobi kumuona Lissu halina uhusiano na harakati za no reform no election .
After all , kama Maam alienda kumuona Lissu…. Therefore , we should compromise harakati kwa kuwa Mama alienda Nairobi !?? What a thinking !!!
Suala la Mbowe kutolewa ilikuwa ni huruma ya Mama au ni baada ya kuona makosa ya Mbowe ni yakupikwa? Mbowe anaweza kuwa gaidi?
Strategic politics ni delusional under CCM regime ,even CCM is not conducting Strategic Politics(SP)…. ndio maana pale kijijini kwenu mpaka leo mnakunywa maji ya mto.
Listen, for as long as CCM haipo tayari kutoka Ikulu , kufanya reforms ya katiba, independent NEC … then any movement from upinzani ambazo ni strategic ( long term& sustainable ) will be silenced kwa kutumia dola and all that.
CCM will never compromise kwenye hoja ya katiba mpy au uchaguzi huru chini ya independent NEC . Hii ni sawa wao kukubali kuachia dola, hata ukafanye vikao na bibi yake Samia…. Billion times ….It will never work .
DG wa NEC anakuwa presidential appointee… and huyo huyo anasimamia uchaguzi ambao Rais anagombania nafasi hiyohiyo…. Are you thinking rational? Are we mad ?
Siasa za Harakati kwa TZ haziepukiki , CCM yenyewe haifanyi strategic politics ndio maana hadi leo matatizo ya enzi ya mwalimu ndio matatizo anayo yaimba samia…
Maji, matundu ya choo, kupeleka madawati, kumtua mama ndoo….. and all that … over 60 years
Nilishawahi kusema, ili TZ isonge mbele na kutoka kwenye huu ufukara, ni lazima generation fulani ifutike kwenye uso wa TZ . Hii generation ndio SETBACK.
Uchawa , neutrality limeangusha sana career path yako Paskali and it makes you look low class Journalist.
Dr Megalodon
Canada
After all , kama Maam alienda kumuona Lissu…. Therefore , we should compromise harakati kwa kuwa Mama alienda Nairobi !?? What a thinking !!!
Suala la Mbowe kutolewa ilikuwa ni huruma ya Mama au ni baada ya kuona makosa ya Mbowe ni yakupikwa? Mbowe anaweza kuwa gaidi?
Strategic politics ni delusional under CCM regime ,even CCM is not conducting Strategic Politics(SP)…. ndio maana pale kijijini kwenu mpaka leo mnakunywa maji ya mto.
Listen, for as long as CCM haipo tayari kutoka Ikulu , kufanya reforms ya katiba, independent NEC … then any movement from upinzani ambazo ni strategic ( long term& sustainable ) will be silenced kwa kutumia dola and all that.
CCM will never compromise kwenye hoja ya katiba mpy au uchaguzi huru chini ya independent NEC . Hii ni sawa wao kukubali kuachia dola, hata ukafanye vikao na bibi yake Samia…. Billion times ….It will never work .
DG wa NEC anakuwa presidential appointee… and huyo huyo anasimamia uchaguzi ambao Rais anagombania nafasi hiyohiyo…. Are you thinking rational? Are we mad ?
Siasa za Harakati kwa TZ haziepukiki , CCM yenyewe haifanyi strategic politics ndio maana hadi leo matatizo ya enzi ya mwalimu ndio matatizo anayo yaimba samia…
Maji, matundu ya choo, kupeleka madawati, kumtua mama ndoo….. and all that … over 60 years
Nilishawahi kusema, ili TZ isonge mbele na kutoka kwenye huu ufukara, ni lazima generation fulani ifutike kwenye uso wa TZ . Hii generation ndio SETBACK.
Uchawa , neutrality limeangusha sana career path yako Paskali and it makes you look low class Journalist.
Dr Megalodon
Canada