Paskali Mayala ni mwanahahari mzuri lakini anakabiliwa na Uchawa, Neutrality na fear of unknown

Kama ni TISS lazima atakuwa senior level au principal , mbona bado amaisha very basic aiseee
Kama ni TISS (nadhani ni uvumi tu) basi ndiyo maana nchi ina mambo ya hovyo hivi. TISS, hasa wa level ya juu anatakiwa awe ni mtu mwenye uwezo wa kutumia akili ku-manipulate target yake na siyo ujinga anaofanya. Mpaka mtoto wa darasa la kwanza anakushtukia bwana.
 
Sahihi. Na ukimsikiliza Paskal unaona bado ana mentality kuwa nchi it’s songs kwa busara za rais… na sio vipengele vya katiba
Eti mama anakupenda lissu na Chadema….. kauli za kupendana na madai ya hakika za kikatiba zinahusiana vipi, hii ni thinking ya chini mnooo
 
Uwe neutral umekuwa gari wewe? Kwenye maisha binadamu huwezi kuwa neutral kwenye masuala ya haki.
 
Yes , na Ma TISS ya sasa ni low thinking….. ndio maan nchi inazidi kwenda down . Hawana impact kwenye maendeleo ya nchi
 
Kwa hiyo mahaba ya Lissu na Samia yana msaada gani kwa nchi yenye katiba mbovu na tume isiyo huru ya uchaguzi?

Pascal Mayalla usi like na kupita hebu ujibu
 
Utopia ni delusional ya Thomas More , and it does not exist .Be informed!
Mkuu Dokta Megalo, Megalodon , kwanza asante kwa bandiko hili very objective. Utopia sio lazima uwe ni utopia ule, huu sasa ni utopia wetu kama ndoto ya Alinacha, sio Alinacha yule, tumeuchukua huo utopia wa Thomas More tuka u domesticate Kitanzania, kuzuia uchaguzi bongo ni utopia tuu!.
Suala la Mama kwenda Nairobi kumuona Lissu halina uhusiano na harakati za no reform no election .
Yes hazina uhusiano bali sisi wenye jicho la tatu, kwa kuangalia tuu facial expression ya macho yanasema kitu, TAL alipaswa akijue hicho tulichokiona and take advantage!.
After all , kama Maam alienda kumuona Lissu…. Therefore , we should compromise harakati kwa kuwa Mama alienda Nairobi !?? What a thinking !!!
Its more than that, hakuishia kumuona tuu Nairobi, alimfuata Ubelgiji na akamuona tena na akampiga jicho lile lile!. Hakuishia hapo kwenye Tamasha la Kizimkazi, akampa simba fulani jina la Tundu Lissu, hivi mlitaka mtu afanye nini ili muelewe?.
Suala la Mbowe kutolewa ilikuwa ni huruma ya Mama au ni baada ya kuona makosa ya Mbowe ni yakupikwa? Mbowe anaweza kuwa gaidi?
Kesi ya Mbowe wakati inafutwa, iliisha vuka stage ya commital prpceeding, na akakutwa na prima facie!.
Strategic politics ni delusional under CCM regime ,even CCM is not conducting Strategic Politics(SP)….
CCM haihitaji strategic politics kwasababu CCM sio tu ni chama cha siasa , CCM ni chama dola!, ni dola!, it just needs to cling!.
ndio maana pale kijijini kwenu mpaka leo mnakunywa maji ya mto.
Duh...!.
Listen, for as long as CCM haipo tayari kutoka Ikulu , kufanya reforms ya katiba, independent NEC … then any movement from upinzani ambazo ni strategic ( long term& sustainable ) will be silenced kwa kutumia dola and all that.
Ukilijua hili, unapaswa kuwa makini zaidi, smater and wiser!.
CCM will never compromise kwenye hoja ya katiba mpy au uchaguzi huru chini ya independent NEC . Hii ni sawa wao kukubali kuachia dola, hata ukafanye vikao na bibi yake Samia…. Billion times ….It will never work .
No, it works, wapinzani wanatakiwa kusaidiwa na ma good strategits!.
DG wa NEC anakuwa presidential appointee… and huyo huyo anasimamia uchaguzi ambao Rais anagombania nafasi hiyohiyo…. Are you thinking rational? Are we mad ?
Kama 2015 opposition wameingiza wabunge zaidi ya 100, 2025 ni bonge la fursa kuliko hata 2015!.
CCM ni tatizo ila ndio chama tawala!.
Nilishawahi kusema, ili TZ isonge mbele na kutoka kwenye huu ufukara, ni lazima generation fulani ifutike kwenye uso wa TZ . Hii generation ndio SETBACK.
Naunga mkono hoja, my estimates were 2030 lakini sasa mara ghafla kama zalia, fursa ikajitokeza!.
Mimi sijawahi kuwa chawa, bali kosa langu kubwa linalonigharimu ni kuwa mkweli kupitiliza!. Kosa hili la kuwa mkweli na kusimama na kweli, nitashuka nalo 6ft under!.
neutrality limeangusha sana career path yako Paskali
Kanuni za kazi ya journalism zinatutaka tu practice neutrality, truthfulness, objectivity, impariality and balance
and it makes you look low class Journalist.

Dr Megalodon
Canada
Kuna kitu kinaitwa is and ought, its true I might look low class journalist, ma high class journalists ni machawa, that is ought, mimi mwenyewe najijua jinsi nilivyo, yaani is, na nimejifunza, it is very dangerous to be right if the boss is wrong!. Our media operating environment is the the law of the jungle, survival is for the fittest, to be fit to survive, one has to be very adaptive to the changing environment, I'm good at that, I'm survival ndio maana mpaka leo bado nipo still kicking!.
P
 
Paskal alivyomjinga anasema eti vitu vidogovidogo hana akili kabisa suala gumu la uchaguzi wa kijinga yeye anasema vitu vidogo vidogo.
 
ukimwona mtu
1. usiku amevaa miwani ya giza hataki macho yake yaonekane dont trust that person its either ana kilevi kichwani macho yata msaliti au ana ficha unafiki alio nao uliokomaa
2. mtu badala ya kuuliza swali anaanza kuzunguka zunguka na historia ujue ana jikosha hana la maana ila anataka aonekane wa maana kwa historia isiyo na tija
3. badala ya kumuita rais rais...anamwita mama na kumpamba sana. ujue anatafuta teuzi au kuonekana na ameshafirisika kiakili.

 

Mimi sikubaliani na maono ya P ya Chadema kushiriki uchaguzi kwa mazingira haya. Angetumia huo muda kuongea na serikali wabadilishe sheria maana ndiyo tatizo lilipo. Lakini tumsifu kwa kuwa muwazi na kutojificha hapa kwamba yeye ni nani. wengine tuna ma ID hapa tunaficha sura wenzetu wanao jionyesha tuwapongeze
 
Si bora hao wanaokujia juu kule kwingine wanakuua kabisa
 
Ni sawa lakini mbinu za kukaa kwenye meza hazikuanza leo…..na hizo mbinu hazijawahi kuwa impact kufikia hatua CCM kufanya reforms .
Sawa lakini ishu z reforms na INDEPENDENT NEC hazipaswi kuonekana ni prudence ya Rais …. Hii ni haki ya katiba watanzania kutaka reforms . Ishu za kukaa kwenye meza hazijawahi kuleta matokeo kwenye meza. Mtakaa kwenye meza miaka nenda rudi but maeneo muhimu hawatotaka kuwaona.

Mambo ya kukaa kwenye meza hizo method hazipo effective na hazijawahi kuleta tija

Suala la Samia kwenda kumuona Lissu au kumtaja taja na kumuita Simba sio suala la maana wala la msingi na hawezi tumiq hiyo kama ishara ya kuwa mwema.

Kimsingi Tanzania hatuhitaji Samia awe mwema au afanye wema……. Yeye aheshimu katiba na atambue pia yeye ni mpita njia kama walivopita wengine….. hatuhitaji prudence yake au lobbying ….. reforms ya katiba ni LAZIMA otherwise hizo chaguzi ni worst of time
 
Hataki kusema yeye ni kijani mtiifu moja kwa moja 😀😀
 
Paskal alivyomjinga anasema eti vitu vidogovidogo hana akili kabisa suala gumu la uchaguzi wa kijinga yeye anasema vitu vidogo vidogo.
Mkuu Rufiji, ukubwa na udogo ni relative to the comperators, ukimchukua amoeba, flagelum, na ciliata ukalinganisha na sisimizi, sisimizi ni kama, tembo!.

Uchaguzi wa 2025, TAL ana bonge moja la fursa fulani kubwa, bonge la fursa adhimu, na adimu, ambayo anaweza kui grap bila reforms, kwa kushiriki uchaguzi!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…