Unazijua procedure za kufika hapo mwenzako alipofikia leo/jana!!!!!!Waooo...congrats darling,had nmetamani ghafla kuwa mama
Jina gani kaka.....Babu hajawahi kuwa na jina jingine mbona??
hahHahaha huko hapana kamjengee hoe
Aaaaa babu lile jina kabla hujastaafu. YB YB.
Mhhhhhhhh,
Ngoja nimuulize Bibi anikumbushe...
Kwa vile umesema wewe ambaye ni mdau mkuu...mie niseme nini tena?
Hongereni sana na kanyaga twende!!
ahahahahh
nitakua diskolifaid parokiani
Hongera baba wa mtoto ni nani na yeye tumpongeze
Hongera sana mamii! Mungu akubariki na akupe maarifa ktk malezi ya malaika huyo!
Passion Lady hongera sana
...........................
umeelewa sana au haujaelewa kabisa?