KWELI Passport ya Tanzania haikubaliki kutumika kama Kitambulisho cha taifa (National ID)

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Kitambulisho cha nida hata wasio raia wanapewa ili mradi tu awe na residence permit ya class yeyote ile,
Naungana na msemaji wa uhamiaji kwamba hii ni dhana pana sana
So twende taratiiibu chuki zinabomoa tu
Kwani mtoto mchanga hana utaifa? Utaifa ni wa yeyote aliyezaliwa na wananchi wa taifa fulani. Kuna miitu mizima kama migabacholi inayovyo vitambulisho vya kitaifa wakati si watanzania.
 
Mbona magabacholi na wasomali hata wakenya wanazo? Sisi ni watu wa hovyo tusiojithamini na kuthaminiana mbali na utaifa wetu. Tungekuwa tunajitambua, hawa magabacholi wasingetokea kuwa matajiri wakati wakitubagua na kutudharau kama kuku.
Duuuh!!, umetoka nje ya mada mkuu
 
Tutawalaumu sana NIDA, lakini ukifikria kwa undani na sakata liliowakuta kuhusu vitambulisho hivi, kwa upande mwingie utawahurumia tu. NIDA anategemea 100% ruzuku ya serikali, hana vyanzo vyake vya mapato. Seriali akimpa pesa NIDA ili achape vitambulisho vya raia wote sidhani kama NIDA atazungukazunguka. hapa wa Kumshona kiroho mbaya ni Serikali wala sio NIDA
 
Sasa kama Passport sio kitambulisho mbona kwenye madaftari ya kujisajili kwenye hoteli unapokuwa ugenini hapa hapa Tanzania huwa wanauliza namba ya passport?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…