Jamani jamvini,
Nina mume wangu ni kiwembe sana, hata nimpe nini haridhiki. Sasa mie nampenda sana ila naona wivu sana abnapopeleka zana zangu kwingine.
Kuna watu nimesikia kwamba ipo dawa unaweza fanya ili Mzee mzima akienda nje ya ndoa tu, mambo yake ipigwe chini ili asimudu majamboz
Au nasikia unaweza ukawa unasafiri nayo , naye asifikirie mtu mwingine ila wewe tu.
Naomba wataalamu wanirushie ujuzi wa kufanya hiyo password kwa lengo zuri tu!
Asanteni kwa mawazo!
mUNGU ANAWEZA YOOOTE MWAMINI YY NDIO KILA KITU NA TIBA YAKO,ACHANA NA HIZO DAWA ZA KUFIKIRIKA WAO MBN WANAMUOMBA MUNGU HUYOHUYO?KAMA WANGEKUWA NA UWEZO SI WANGEJIUMBA TU MY DIA?SI WANGEJUA SIKU ZAO ZA MWISHO WAJIANDAE?
'Surely goodness and mercy shall follow me all the days of my life...' Psalm 23:6 NKJV
sasa leo si kama kawaida
Mnatumia line gani ya simu?
Nn tena jamani?
Mnatumia line gani ya simu?
iliyokubalika na TCRA - TIGO,VODACOM,ZANTEL,ZAIN,SASATEL
Mnatumia line gani ya simu?
Hapo hapo taratibu shostito ..............akina The Finest, Fidel watakusaidia kupafafanua hapo .....otherwise jihami.Jamani jamvini,
Nina mume wangu ni kiwembe sana, hata nimpe nini haridhiki. Sasa mie nampenda sana ila naona wivu sana abnapopeleka zana zangu kwingine.
Kuna watu nimesikia kwamba ipo dawa unaweza fanya ili Mzee mzima akienda nje ya ndoa tu, mambo yake ipigwe chini ili asimudu majamboz
Au nasikia unaweza ukawa unasafiri nayo , naye asifikirie mtu mwingine ila wewe tu.
Naomba wataalamu wanirushie ujuzi wa kufanya hiyo password kwa lengo zuri tu!
Asanteni kwa mawazo!
Jamani jamvini,
Nina mume wangu ni kiwembe sana, hata nimpe nini haridhiki. Sasa mie nampenda sana ila naona wivu sana abnapopeleka zana zangu kwingine.
Kuna watu nimesikia kwamba ipo dawa unaweza fanya ili Mzee mzima akienda nje ya ndoa tu, mambo yake ipigwe chini ili asimudu majamboz
Au nasikia unaweza ukawa unasafiri nayo , naye asifikirie mtu mwingine ila wewe tu.
Naomba wataalamu wanirushie ujuzi wa kufanya hiyo password kwa lengo zuri tu!
Asanteni kwa mawazo!
Rev Masanilo, mbona unaipitia taarifa ya mtoa mada juujuu, hebu angalia hapo kwenye nyekundu kutoka kwenye post yake
Boresha mahusiano yako kimapenzi kwa kutumia tiGo pekeee!
Hapo hapo taratibu shostito ..............akina The Finest, Fidel watakusaidia kupafafanua hapo .....otherwise jihami.
hata nimpe nini haridhiki.
Boresha mahusiano yako kimapenzi kwa kutumia tiGo pekeee!