Mimi natumia moja tu kotekote!
Nilisema ntakuwa napita mara moja moja kuwapa hi kama hivi........au ndio hamnitaki tena hapa baada ya kupata watu wapya? Nimeona wengine sijui wazaire wale?
mambo??
Mi huwa najiuliza sana hivi wewe unapenda andazi la kuchoma au?
Kha ndio maana mi nikaamua kijiweka pembeni mapema maana hawa wazaire hawafai kabisa. Hawachelewi kukugeuza mbilikimo halafu wakakufanya kitoweo
Hahahahaaa unajua wanaume sio wazuri sana kwenye diaries eeh hasa kwa mambo yao personalshida yote ya kujikaririsha hayo manamba yote ni nini?
kuna simu, notebooks, diaries.......... hivyo vyote kazi yake nini?
hivyo vitu vyoote ulivyoviandika vinapaswa kuwa kwenye vitabu vya kumbukumbu, na si kuviweka kichwani....
kuna mambo mengi sana muhimu yanayopaswa kukaa kichwani
ndo manake watu wanatembea na vichwa vya chura itakuwa wewe partner wangu kuchimba mkwara!wachimbe tuu!Partner itabidi nifuate ushauri huo asee, mzima wewe lakini?
Vipi sehemu nyingine za mwili wake, including yeye mwenyewe, zina akili?Akili yako ina akili sana!
Vipi sehemu nyingine za mwili wake, including yeye mwenyewe, zina akili?
Bado upo hai ama RIP?Nilisema ntakuwa napita mara moja moja kuwapa hi kama hivi........au ndio hamnitaki tena hapa baada ya kupata watu wapya? Nimeona wengine sijui wazaire wale?