Password

Password

Nilisema ntakuwa napita mara moja moja kuwapa hi kama hivi........au ndio hamnitaki tena hapa baada ya kupata watu wapya? Nimeona wengine sijui wazaire wale?

Wapo wapya wakongo papaa Chimbuvu
 
Nilisema ntakuwa napita mara moja moja kuwapa hi kama hivi........au ndio hamnitaki tena hapa baada ya kupata watu wapya? Nimeona wengine sijui wazaire wale?

yule mzaire ni Chimbuvu
 
Last edited by a moderator:
mambo??
Mi huwa najiuliza sana hivi wewe unapenda andazi la kuchoma au?

we mtoto utakuja kuuliza maswali yasiyo na majibu eboh!! hivi utu uzima wote huo mamito hujui tu "andazi la kuchoma"? ndio maana nataka muende Tanga tukawafunze hizi lugha za picha heheheh!!!
 
shida yote ya kujikaririsha hayo manamba yote ni nini?
kuna simu, notebooks, diaries.......... hivyo vyote kazi yake nini?
hivyo vitu vyoote ulivyoviandika vinapaswa kuwa kwenye vitabu vya kumbukumbu, na si kuviweka kichwani....
kuna mambo mengi sana muhimu yanayopaswa kukaa kichwani
 
mi kwa kweli ziko mbili tu kwenye namba na moja tu kwenye maneno!
ah!
 
Kha ndio maana mi nikaamua kijiweka pembeni mapema maana hawa wazaire hawafai kabisa. Hawachelewi kukugeuza mbilikimo halafu wakakufanya kitoweo

partner kwani we hujaaga kwenu!
chimba tu mkwara na wewe!
kuwa awe mzaire au nani akikugusa tu unawapukutisha kwao wote mpka panya! (sosi zitto kabwe)
 
shida yote ya kujikaririsha hayo manamba yote ni nini?
kuna simu, notebooks, diaries.......... hivyo vyote kazi yake nini?
hivyo vitu vyoote ulivyoviandika vinapaswa kuwa kwenye vitabu vya kumbukumbu, na si kuviweka kichwani....
kuna mambo mengi sana muhimu yanayopaswa kukaa kichwani
Hahahahaaa unajua wanaume sio wazuri sana kwenye diaries eeh hasa kwa mambo yao personal
 
partner kwani we hujaaga kwenu!
chimba tu mkwara na wewe!
kuwa awe mzaire au nani akikugusa tu unawapukutisha kwao wote mpka panya! (sosi zitto kabwe)
Partner itabidi nifuate ushauri huo asee, mzima wewe lakini?
 
Partner itabidi nifuate ushauri huo asee, mzima wewe lakini?
ndo manake watu wanatembea na vichwa vya chura itakuwa wewe partner wangu kuchimba mkwara!wachimbe tuu!
tena waambie utawageuza sura kabisa!na siku hizi kigoma kwenyewe hapo tuu!ukikosa pa kufikia Kaunga atakupokea af atakupeleka kwa mtu anaitwa RC we muulize tu vizuri!asikutishe mtu partner!
ahhahahahhahhahahha mie partner wako niko poa mwaya!
 
Last edited by a moderator:
mie sitaki shida nimeziweka kwa magroup1. four lettered passwords eg: simcard pin, airtel money, mpesa etc [password inafanana]2. 6 lettered passwords nazo zinafanana3. 10+ lettered passwords, hizi ni sehemu za muhimu kama akaunti za online nnazofanyia transactions, hizi ziko chache so password zinakuwa complicated kidogo ie zina include $yMb0ls
 
Nilisema ntakuwa napita mara moja moja kuwapa hi kama hivi........au ndio hamnitaki tena hapa baada ya kupata watu wapya? Nimeona wengine sijui wazaire wale?
Bado upo hai ama RIP?
 
Back
Top Bottom