VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,365
Unajua kuna tofauti ya obligation na choice ya mtu kueleza kitu; mahusiano yanaanza pale nyie wawili mnapokutana, In this day and age, ni watu wachache ambao wana-settle down na mtu bila ya kuwa na previous EX's..
Only the truth, and nothing but The Truth will set you free.
Hivyo basi ni muhimu na busara kwa mtu kutokumchimba mwenza wako his/her past love life.., sababu the truth may Hurt You..., keeping in mind you perfectly know that there are some Ex's and because you were not in the picture how is that your concern, after all unless you find someone a virgin, you should expect there was an Ex's na you should not dig out and force someone to say something unless he/she wants..., Na wewe unaetoa hadithi za past inabidi uangalie kama utakuwa unajenga cause kuna watu wana wivu unaweza ukawapa unnessary jealous
The Truth will Set you Free....!!, Okay but for whose benefit?, na je utakuwa unatransfer huo mzigo kwa mwenza wako au kwa nani?, Kumbuka wivu ni kidonda na unaumiza sana angalia usiwe unajiset Free alafu unamfunga mwenza wako... Cause hata kama akifind out later it was on the past na hana haki ya kukushutumu.