Bahati mbaya Katoliki huwa wanafukiza kaburini ikiwa too late.Leo nimestushwa na habari hizi mbaya za kufariki huyu mtumishi mmoja wa waanzilishi wa huduma pale Amana Vijana Centre kwa kweli kasi ya vifo inatisha ndugu zangu.
Lusajo Mwakoba anakaa Jacaranda, kasoma Azimio, kisha sekondari Meta. Ndiye anaendesha Mbeya Peak kwa sasa
Ndio shukrani za vijana wetu sasa. Tumewatunza wakiwa wadogo, tukawasomesha hadi wamepata kazi. Sasa wanatuona kama wasumbufu na wanaomba kila siku kwa Mungu ili tufe mapema na kuwapunguzia gharama ya kututunza. Wakumbuke, na wao haya yatawakuta ndipo watakapojua ala uzee si ugonjwa.Tusiogope Watanzania wanaozaliwa ni wengi mno, kufuatia maboresho huduma za afya ,chanjo, elimu bure ,hamasa kuzaliana. Shida ni kupoteza wapambanaji, japo kwa wazee above 80...( Life span 60...yrs) wapumzike kwa amani , kunapunguza garama kuwatunza nk.
OK. NtakufuatiliaHapo opposite na octopus, jirani na Mbeya Peak, jioni wanachoma nyama vizuri sana hapo hukaa nikila nyama mara kwa mara.
Pia stand kuu Kuna kabaa fulani, wanachoma nyama za mafungu, Basi nikikaa pale yaani nafurahi Sana.
Pia Karembu na kwa Mwailubi.
Hii inaitwa Samson manywele
Munajitekenya kisha munacheka wenyewe.
Kuna mzee hapa mtaani kwangu aliniambia kua wapinzani hawana sera tena zaidi ya kujifariji na Corona.
Jizushieni vifo kama haitoshi nendeni nchi za nje mukachanjwe (kumbuka kipimo kime badilika, kwa sasa ni mwendo wa kuchonyoana sehem za haja kubwa) haitoshi jifungieni ndani, tuacheni sisi wananchi tupige kazi tutunze kaya zetu, bila kusahau kulijenga taifa letu Tanzania.
Kelele za sijui nani kafa! tumezichoka.
Kafa Baba yangu itakua huyo pastor?
Asife ye nani?
Ama yeye ndio wakwanza?
Leo watu wangapi wanakufa/ watakufa/ wamekufa kwa siku ya leo?
Kuna kipya hapo?
Napenda sana games za kutafutana. Mwishoni zinaishia kumegana kimasiharaBujibuji umeona sasa?
Mi huwa napark gari yangu kwenye soko la Uhindini lililounguaMtoto wa mzee Mponjoli Mwakoba.
Cha ajabu ukute ndiye Jane Lowasa
Ule ushahidi alopeleka Maria Sarungi na Nyalandu utaanza sikilizwa lini? Na ule wa Amsterdam je?Mimi ninaomba abaki salama akajibu mashtaka ICC. Ninaomba Mungu amlinde katika hili.
Mimi ninataka abaki salama ili apate feedback ya watu baada ya kustaafu he ni kweli kwamba anapendwa Sana?Mimi ninaomba abaki salama akajibu mashtaka ICC. Ninaomba Mungu amlinde katika hili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Doctor umetishaMaji tiririka ni shida mno kupatikana. Huku Nanjilinji tunaamka saa 10 alfajiri kwenda kuyasaka. Tunarudi saa nne asubuhi alafu uniambe yawe ya kunawa.
Corona is REal, huyu alikuwa anafundisha WEEEKEND WORSHIP pale TAG-CCC [UPANGA] Kwa Bishop Ranwell Mwenisongole.Leo nimestushwa na habari hizi mbaya za kufariki huyu mtumishi mmoja wa waanzilishi wa huduma pale Amana Vijana Centre kwa kweli kasi ya vifo inatisha ndugu zangu.
kifua kubanaMama Konga kafariki Jana, hebu ulizia nini kimeipata familia yake siku hizi tano?
hivyo vimishikakiHapo opposite na octopus, jirani na Mbeya Peak, jioni wanachoma nyama vizuri sana hapo hukaa nikila nyama mara kwa mara.
Pia stand kuu Kuna kabaa fulani, wanachoma nyama za mafungu, Basi nikikaa pale yaani nafurahi Sana.
Pia Karembu na kwa Mwailubi.
hivyo vimishikaki kuna kipindi walizusha ni vya nyau eti😭ila vitamu balaaaaHapo opposite na octopus, jirani na Mbeya Peak, jioni wanachoma nyama vizuri sana hapo hukaa nikila nyama mara kwa mara.
Pia stand kuu Kuna kabaa fulani, wanachoma nyama za mafungu, Basi nikikaa pale yaani nafurahi Sana.
Pia Karembu na kwa Mwailubi.
Nani?
Sawa sawaHapana ndugu, usitamani shari imfike hata adui wako, muombee abadilike, kwa kuwa mara nyengine unaweza tamani shari imkute mbaya wako na ikawa kama ulivyotamani, matokeo yake na wewe ukafikwa na baya zaidi yake.
Wakati ni mgumu tujitahidi kuchukua tahadhari na kumwomba muumba atuondoshee changamoto tulizo nazo
DahCorona is REal, huyu alikuwa anafundisha WEEEKEND WORSHIP pale TAG-CCC [UPANGA] Kwa Bishop Ranwell Mwenisongole
Kwa mujibu wa vyanzo vya uhakika [sana], kifo cha Pastor Abel hakijatokana na COVID 19 au udhaifu katika mifumo ya upumuaji.
Waungwana hujitenga na uongo na waongo. Tujisahihishe.