Mapenzi ya siku hizi ukijiua wewe ndiye mjinga[emoji23] [emoji23] [emoji23] Sijui ndio alijua huko aliko Mchungaji aliko hakuna mitandao?
Ila mchungaji naye hajajiongeza sababu kujiua kwake ndio kawaachia uwanja sasa.
Hahahaaaa. Hivyo wanawake huwa hatujinyongagi eeee?Mbona tunao jinyonga ni wanaume tuu.
Lazima kuna jambo nyuma ya pazia sio hivihivi... Mchungaji kaona atangulie jamaniDuuh! Apumzike kwa Amani Mchungaji wa watu.
Ila yote kwa yote wenyewe ndio wanajua yaliyokuwa yanaendelea nyuma ya pazia mpaka kikatokea kilichotokea.
Kupenda hakuna cha uchungajiMchungaji mahubiri yake hayakumsaidia. Ni upuuzi kujitoa roho kwa ajili ya mwanamke
Taarifa yote ipo kwenye Picha.. sijui wanawake Mnachotaka.. yaani mwezi Mmoja tu? Unachumbiwa? Na Picha zinazagaa?
So Sad..
Wanaume tuwe Makini..View attachment 823546
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] limemshinda kwa kweli.Mapenzi ya siku hizi ukijiua wewe ndiye mjinga
Mchungaji jaribu hilo limemshinda[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanawake roho zetu tunazijua wenyeweMbona tunao jinyonga ni wanaume tuu.
Mapenzi yanaua HajarDuuh! Apumzike kwa Amani Mchungaji wa watu.
Ila yote kwa yote wenyewe ndio wanajua yaliyokuwa yanaendelea nyuma ya pazia mpaka kikatokea kilichotokea.
Umeonaeee. Maana kufikia hatua ya mwanamke kurusha picha za uchumba sijui ndoa ni dhahiri kwamba anajua nini anafanya.Lazima kuna jambo nyuma ya pazia sio hivihivi... Mchungaji kaona atangulie jamani
Tujinyonge wapi si visasi vyetu ni vya hapahapa duniani kama ngwai na iwe[emoji18]Hahahaaaa. Hivyo wanawake huwa hatujinyongagi eeee?
Hahahaaa. Ndio Sesten.Mapenzi yanaua Hajar
How?She upgraded her husband.
Ukute marehemu nae alikuwa jipuUmeonaeee. Maana kufikia hatua ya mwanamke kurusha picha za uchumba sijui ndoa ni dhahiri kwamba anajua nini anafanya.
How?