Pastors kueni na huruma acheni kuwakamua kondoo wa Bwana

Pastors kueni na huruma acheni kuwakamua kondoo wa Bwana

Nyamwage

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2020
Posts
712
Reaction score
1,748
Habari

Nimebaki mdomo wazi baada ya ndugu yangu wa karibu kukata 10% ya mafao yeke ya usitaafu na kumpelekea mchungaji kama fungu la kumi kakata tena vimilioni kadhaa vingine katoa kama sadaka ya malimbuko ya mwisho wa mwaka kanisa linapokea tu hiyo pesa na halijui baada ya miaka kumi ijayo huyu muumini atakua na maisha gani kiuchumi
 
Habari

Nimebaki mdomo wazi baada ya ndugu yangu wa karibu kukata 10% ya mafao yeke ya usitaafu na kumpelekea mchungaji kama fungu la kumi kakata tena vimilioni kadhaa vingine katoa kama sadaka ya malimbuko ya mwisho wa mwaka kanisa linapokea tu hiyo pesa na halijui baada ya miaka kumi ijayo huyu muumini atakua na maisha gani kiuchumi
Kama katoa kwa imani muache. Ni hela yake na Mungu wake, siyo yako.

Mnakesha Kitambaa Cheupe bill 1.5M na hamlalamiki. Ila mtu akitoa 30000 zaka kanisani mnalalamika.

Kila mtu ale anakopeleka mboga.
 
Kwani amekuomba pesa ili atoe sadaka? Au wewe unafahamu Maisha ya Mtu baada ya miaka kumi au wewe ndo ulimpa hayo mafao au wewe ni chawa wake au wewe unataka hiyo hela atunze bank au unafukuto au Mchungaji sio mtu au umeona roho yake imepoa?
Habari

Nimebaki mdomo wazi baada ya ndugu yangu wa karibu kukata 10% ya mafao yeke ya usitaafu na kumpelekea mchungaji kama fungu la kumi kakata tena vimilioni kadhaa vingine katoa kama sadaka ya malimbuko ya mwisho wa mwaka kanisa linapokea tu hiyo pesa na halijui baada ya miaka kumi ijayo huyu muumini atakua na maisha gani kiuchumi
 
🤣🤣mbenguuu zutomfongokiaaaa sema eimeeeeeeeeein kubwaaaaaaaa
 
Kumbukumbu la torati 14:22 "Usiache kutoa zaka ya FUNGU LA KUMI katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka. Mithali 3:9-10 "Mheshimu BWANA kwa mali yako na kwa MALIMBUKO ya mazao yako yote. Ndipo ghala zako zitakapojazwa kwa wingi na mashinikizo yako yatatafurika divai mpya.
 
Kumbukumbu la torati 14:22 "Usiache kutoa zaka ya FUNGU LA KUMI katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka. Mithali 3:9-10 "Mheshimu BWANA kwa mali yako na kwa MALIMBUKO ya mazao yako yote. Ndipo ghala zako zitakapojazwa kwa wingi na mashinikizo yako yatatafurika divai mpya.
Sasa kumbukumbu la torati lina tuhusu nini sisi watu weusi wa hapa Africa mashariki Jamani baadhi yetu tumesha shtukia mchezo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom