Apollo tyres
Senior Member
- Nov 16, 2024
- 109
- 286
Habari,
Karibu ujipatie tyres mbali mbali pia Kwa wale ambao hamna ufahamu mzuri wa matairi ya magari makubwa mtapata maarifa kidogo pia na bei za kizalendo kabisa.
Nitaanza na kutoa somo ili kila mtu anayehitaji kununua tyres apate ufahamu mzuri.
Hii itasaidia kujenga uelewa mzuri Kwa wateja hasa wamiliki wa Magari pamoja na Madereva.
Kwa kuangalia iyo picha hapo juu.
Kuna steer, drive na trailer
Tutaanza na steer
Steer - ni tairi za mbele au tunasema kashata ya highway au wengine wanafunga kashata ya mixer.
315/80 R 22.5 Hi ndio tairi ya mbele highway
315/80 R 22.5 Hii pia wanafunga mbele kashata ya mixer
Steer au tairi ya mbele inafunga size mbili
1. 315/80 R 22.5 (picha nimetuma hapo juu)
2. Na 385/65 r 22.5 jina jingine huitwa SUPERSINGLE
Izi 385/65 r 22.5 supersingle kwaiyo mbele wanafunga either supersingle ya highway au mixer
Pia izi 385/65 r 22.5 zinakuwa pana kuliko 315/80 r 22.5
Na 315/80 r 22.5 kwa lugha ya mtaani huwa wanaziita size 12
Tuje kwenye drive hapa
Hapo kwenye drive panaitwa diff
Tuanze na size zinazofunga kwenye diff hapo chini kwenye mshale
👇🏾
wanafunga size
11 r 22.5
295/80 r 22.5 kwa lugha ya mtaani wanaziita size 11.
Na size nyingine inayofunga hapo ni SUPERSINGLE FUPI/NDOGO 385/55 R 22.5
Pia tuje kwenye tairi za diff zinazofunga hapo nyuma
Size inayofunga hapo ni 315/80 r 22.5 hapo unaweza funga kashata ya diff boxbox na kashata kubwa kabisa (manundu)
315/80 r 22.5 tairi ya diff hii kashata kubwa (manundu)
315/80 r 22.5 Tairi ya diff hii ni kashata ya boxbox
👇🏾
Tukija hapa kwenye trailer tairi zinazofunga hapa ni
315/80 r 22.5 na
385/65 r 22.5
315/80 R 22.5 hii wanaita MIXER hii wanafunga kwenye trailer.
385/65 R 22.5 hii supersingle pia wanafunga kwenye trailer
Hii tairi pia wanaiitwa all position kwa sababu unaweza kufunga mbele, kwenye diff na kwenye trailer.
Bei zetu ni ni kama zifuatazo.
Brand ya CENTARA.
-• 315/80 R 22.5- Mbele 465K (highway)
-• Mixer( Trailer) - 460K
-• Diff (Kashata kubwa =510K
-• Diff (Kashata box box =510K
-• 385/65 R 22.5 - SUPER-SINGLE bei yake ni 610K , hii wanafunga mbele au kwenye trailer.
-• 11 R 22.5 TRANSTONE - Highway bei yake ni 435K.
Mixer bei yake ni 435K
Diff bei yake ni 495K
-• 295/80 R 22.5 MAXZEZ High way
Bei zake hizi hapa 👇🏾
High-way bei yake 490K
Diff bei yake 517 ,500/=
Location tupo Vigunguti karibu na sido Call 0658124288
Brand zilizopo
Transtone
Centara
Timax
Saferin
Ruadlux
Doublecoin
Valiant
Karibu ujipatie tyres mbali mbali pia Kwa wale ambao hamna ufahamu mzuri wa matairi ya magari makubwa mtapata maarifa kidogo pia na bei za kizalendo kabisa.
Nitaanza na kutoa somo ili kila mtu anayehitaji kununua tyres apate ufahamu mzuri.
Hii itasaidia kujenga uelewa mzuri Kwa wateja hasa wamiliki wa Magari pamoja na Madereva.
Kwa kuangalia iyo picha hapo juu.
Kuna steer, drive na trailer
Tutaanza na steer
Steer - ni tairi za mbele au tunasema kashata ya highway au wengine wanafunga kashata ya mixer.
315/80 R 22.5 Hi ndio tairi ya mbele highway
315/80 R 22.5 Hii pia wanafunga mbele kashata ya mixer
Steer au tairi ya mbele inafunga size mbili
1. 315/80 R 22.5 (picha nimetuma hapo juu)
2. Na 385/65 r 22.5 jina jingine huitwa SUPERSINGLE
Izi 385/65 r 22.5 supersingle kwaiyo mbele wanafunga either supersingle ya highway au mixer
Pia izi 385/65 r 22.5 zinakuwa pana kuliko 315/80 r 22.5
Na 315/80 r 22.5 kwa lugha ya mtaani huwa wanaziita size 12
Tuje kwenye drive hapa
Hapo kwenye drive panaitwa diff
Tuanze na size zinazofunga kwenye diff hapo chini kwenye mshale
👇🏾
wanafunga size
11 r 22.5
295/80 r 22.5 kwa lugha ya mtaani wanaziita size 11.
Na size nyingine inayofunga hapo ni SUPERSINGLE FUPI/NDOGO 385/55 R 22.5
Pia tuje kwenye tairi za diff zinazofunga hapo nyuma
Size inayofunga hapo ni 315/80 r 22.5 hapo unaweza funga kashata ya diff boxbox na kashata kubwa kabisa (manundu)
315/80 r 22.5 tairi ya diff hii kashata kubwa (manundu)
315/80 r 22.5 Tairi ya diff hii ni kashata ya boxbox
👇🏾
Tukija hapa kwenye trailer tairi zinazofunga hapa ni
315/80 r 22.5 na
385/65 r 22.5
315/80 R 22.5 hii wanaita MIXER hii wanafunga kwenye trailer.
385/65 R 22.5 hii supersingle pia wanafunga kwenye trailer
Hii tairi pia wanaiitwa all position kwa sababu unaweza kufunga mbele, kwenye diff na kwenye trailer.
Bei zetu ni ni kama zifuatazo.
Brand ya CENTARA.
-• 315/80 R 22.5- Mbele 465K (highway)
-• Mixer( Trailer) - 460K
-• Diff (Kashata kubwa =510K
-• Diff (Kashata box box =510K
-• 385/65 R 22.5 - SUPER-SINGLE bei yake ni 610K , hii wanafunga mbele au kwenye trailer.
-• 11 R 22.5 TRANSTONE - Highway bei yake ni 435K.
Mixer bei yake ni 435K
Diff bei yake ni 495K
-• 295/80 R 22.5 MAXZEZ High way
Bei zake hizi hapa 👇🏾
High-way bei yake 490K
Diff bei yake 517 ,500/=
Location tupo Vigunguti karibu na sido Call 0658124288
Brand zilizopo
Transtone
Centara
Timax
Saferin
Ruadlux
Doublecoin
Valiant