PATA ELIMU: Battery imekufa ghafla?

PATA ELIMU: Battery imekufa ghafla?

KIMOMWEMOTORS

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2018
Posts
358
Reaction score
675
ELIMU KUHUSU GARI YAKO

Ikiwa battery imekufa ghafla na gari yako ni automatic na huwezi kupata msaada wa haraka, inyanyue tyre moja ya mbele kwa kutumia jeki, weka gear kwenye D, funga kamba kuzunguka tyre halafu vuta kamba kwa nguvu, ikiwaka, peleka gear kwny N kisha uzuie motion ya tyre taratibu, na kisha rudisha gear kwenye P na utoe jeki.

Video ya Mfano iko hapo chini
 
Hii ya kupiga jack tairi linyanyuke ili kupata motion kunatofauti gani na kulisuma gari
Likiwa N then likishika kasi unarudisha D?
 
Hiyo kwa gari inayotumia nguvu matairi ya mbele je gari ya inayotumia propela shaft au tairi za nyuma

Umeuliza swali ambalo nilikuwa nimuulize. Vitu vya kukarri ni vibaya sana. Yeye kasema mbele kwa sabau hiyo clip inaonesha tairi ya mbele, akufikiria kuwa kuna magari menine yanatumiadiving shaft ya nyuma.

NB;
kwa mantiki hii, mimi naona kama inatumia tairi ya nyuma basi utanyanyua tairi ya nyuma
 
ELIMU KUHUSU GARI YAKO

Ikiwa battery imekufa ghafla na gari yako ni automatic na huwezi kupata msaada wa haraka, inyanyue tyre moja ya mbele kwa kutumia jeki, weka gear kwenye D, funga kamba kuzunguka tyre halafu vuta kamba kwa nguvu, ikiwaka, peleka gear kwny N kisha uzuie motion ya tyre taratibu, na kisha rudisha gear kwenye P na utoe jeki.

Imetolewa na Kimomwe Motors (T) Ltd waagizaji wa Magari-

Kwa msaada na maulizo waweza kutupigia kwa 0746267740

Video ya Mfano iko hapo chini
View attachment 1275032
Thanks brother
 
Back
Top Bottom