KIMOMWEMOTORS
JF-Expert Member
- May 17, 2018
- 358
- 675
ELIMU KUHUSU GARI YAKO
Ikiwa battery imekufa ghafla na gari yako ni automatic na huwezi kupata msaada wa haraka, inyanyue tyre moja ya mbele kwa kutumia jeki, weka gear kwenye D, funga kamba kuzunguka tyre halafu vuta kamba kwa nguvu, ikiwaka, peleka gear kwny N kisha uzuie motion ya tyre taratibu, na kisha rudisha gear kwenye P na utoe jeki.
Video ya Mfano iko hapo chini
Ikiwa battery imekufa ghafla na gari yako ni automatic na huwezi kupata msaada wa haraka, inyanyue tyre moja ya mbele kwa kutumia jeki, weka gear kwenye D, funga kamba kuzunguka tyre halafu vuta kamba kwa nguvu, ikiwaka, peleka gear kwny N kisha uzuie motion ya tyre taratibu, na kisha rudisha gear kwenye P na utoe jeki.
Video ya Mfano iko hapo chini