KIMOMWEMOTORS
JF-Expert Member
- May 17, 2018
- 358
- 675
CHOMEKA TAIRI KWANZA KWENYE SIMU YAKO...HALAFU URUDI HAPA TUKUELEKEZEKwa sisi tunao tmia betri za simu unatusaidiaje
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] daaa jf usipocheka ukapimwe mkojo.CHOMEKA TAIRI KWANZA KWENYE SIMU YAKO...HALAFU URUDI HAPA TUKUELEKEZE
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂CHOMEKA TAIRI KWANZA KWENYE SIMU YAKO...HALAFU URUDI HAPA TUKUELEKEZE
Unaweka ON.Mkuu sasa funguo si itakua off hapo itawakaje mkuu
Unainua tairi moja ya nyuma.Hiyo kwa gari inayotumia nguvu matairi ya mbele je gari ya inayotumia propela shaft au tairi za nyuma
Hapo brake ukutaniIla kuwa makini gari inaweza fyatuka toka kwenye jerk
Funguo inajirudi au mpaka nichomoe hizi terminal kwenye batter maana ipo lowUnaweka ON.
Hiyo kwa gari inayotumia nguvu matairi ya mbele je gari ya inayotumia propela shaft au tairi za nyuma
ON position hairudi, kwenye START position ndio funguo inarudi.Funguo inajirudi au mpaka nichomoe hizi terminal kwenye batter maana ipo low
[emoji52][emoji52][emoji52][emoji52][emoji52][emoji52]Kwa sisi tunao tmia betri za simu unatusaidiaje
Thanks brotherELIMU KUHUSU GARI YAKO
Ikiwa battery imekufa ghafla na gari yako ni automatic na huwezi kupata msaada wa haraka, inyanyue tyre moja ya mbele kwa kutumia jeki, weka gear kwenye D, funga kamba kuzunguka tyre halafu vuta kamba kwa nguvu, ikiwaka, peleka gear kwny N kisha uzuie motion ya tyre taratibu, na kisha rudisha gear kwenye P na utoe jeki.
Imetolewa na Kimomwe Motors (T) Ltd waagizaji wa Magari-
Kwa msaada na maulizo waweza kutupigia kwa 0746267740
Video ya Mfano iko hapo chini
View attachment 1275032
Hapo brake ukutani
*Jerk=Jack