Kigamboni sehemu ganiKaribuni wateja tuwapatie maeneo kwaajiri ya ujenzi na uwekezaji, yamepimwa na huduma zote za kijamii zipo. Check me via 0620701780.
View attachment 2285002
Mku Asante sana.Vimepimwa square meter 400, ambapo 20 meter urefu na 20 meter upana.
Lakini pia unaweza pata zaidi ya hapo.
Karibu sana ndugu yangu.
Kigamboni gezaulole, cheka, kibada, mwembe mdogo, avick town, buyuniKigamboni sehemu gani
Asante MkuVimepimwa square meter 400, ambapo 20 meter urefu na 20 meter upana.
Lakini pia unaweza pata zaidi ya hapo.
Karibu sana ndugu yangu.
Any time we are availableAsante Mku
kampuni ipi, maana zipo nyingi?Kwani hawa nilioendanao ni katika ile ofa ya Sabasaba.
Naomba mchanganuo mapema ili tufanye msnunuzi.
Asante