Yaani mie mwenyewe hazijanitembelea vizuri...siku nikizipata ni mwendo wa threesome mara mbili kwa wikiUmalaya.sa hv kila siku lazima nilale na mwanamke zamani sikuwa ivo.
HahahahaaaaaKuchomekea tu, ndo tukio langu huwa nafanya nikiwa pochi nene. na sivai modo
Sipendi kuvaa smart na sina hela.
Hapo utakuta natoa sharti kali navaa na kinjunga (pensi) na open shoes nimemaliza, modo naanza kuvaa hadi zilizochanika magotini.
Mimi naweza kuwa na milioni mfukoni,nikashindia juice,au nikala ugali dagaa nikalala,,
Starehe naziona ni kujilisha upepo tu,haziniongezei lolote, in short pesa nishaizoe nimeikinai,niwe nayo,nisiwe nayo sibadiliki
Mimi naweza kuwa na milioni mfukoni,nikashindia juice,au nikala ugali dagaa nikalala,,
Starehe naziona ni kujilisha upepo tu,haziniongezei lolote, in short pesa nishaizoe nimeikinai,niwe nayo,nisiwe nayo sibadiliki