SYENDEKE
Senior Member
- Jul 18, 2011
- 169
- 26
jamani kuna hii campain ya ujanyasaji wakijinsia inayo tolewa na shirika la lisilo la kiserikali la CHAMPION chini ya wizara ya maendereo ya jamii jinsia na watoto nimeiipenda sana INASEMA MWANAUME KUWA MFANO WA KUIGWA PATA HESHIMA YAKO BILA KUTUMIA MABAVU hapo wamepiga ikulu kabisa na wanaume wengi wamewagusa kwa jinsi wanavyo nyanyasa wanawake zao na watoto . Duhuuu big up