Copy & Paste kutoka kwenye hii link ya Group la WhatsApp.
Safisha tumbo lako mara kwa mara ili uboreshe afya yako. Afya yako ni mali zaidi ya mali yako!
Chanzo kikuu cha magonjwa mengi ni matokeo ya chakula tunachokula kugeuka kuwa sumu mwilini. Ndio maana Watalaam wa afya wanahimiza sana ulaji wa matunda na unywaji wa maji kwa ajili ya kusaidia mmeng'enyo wa chakula tumboni ili kusaidia ku flash out yale mabaki yasigeuke kuwa sumu.
Lakini pamoja na juhudi zote bado kuna umuhimu wa kupiga usafi tumbo kwa mahsusi kabisa. Watu wengi sana hawapigi usafi tumbo waao ni kula tu
Safisha tumbo lako mara kwa mara ili uboreshe afya yako. Afya yako ni mali zaidi ya mali yako!
Chanzo kikuu cha magonjwa mengi ni matokeo ya chakula tunachokula kugeuka kuwa sumu mwilini. Ndio maana Watalaam wa afya wanahimiza sana ulaji wa matunda na unywaji wa maji kwa ajili ya kusaidia mmeng'enyo wa chakula tumboni ili kusaidia ku flash out yale mabaki yasigeuke kuwa sumu.
Lakini pamoja na juhudi zote bado kuna umuhimu wa kupiga usafi tumbo kwa mahsusi kabisa. Watu wengi sana hawapigi usafi tumbo waao ni kula tu