Pata huduma ya Kusafisha tumbo. Kile unachokula ndicho kinachokuja kuwa sumu mwilini kwako !

Pata huduma ya Kusafisha tumbo. Kile unachokula ndicho kinachokuja kuwa sumu mwilini kwako !

Capitrait

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
228
Reaction score
328
Copy & Paste kutoka kwenye hii link ya Group la WhatsApp.

Safisha tumbo lako mara kwa mara ili uboreshe afya yako. Afya yako ni mali zaidi ya mali yako!

Chanzo kikuu cha magonjwa mengi ni matokeo ya chakula tunachokula kugeuka kuwa sumu mwilini. Ndio maana Watalaam wa afya wanahimiza sana ulaji wa matunda na unywaji wa maji kwa ajili ya kusaidia mmeng'enyo wa chakula tumboni ili kusaidia ku flash out yale mabaki yasigeuke kuwa sumu.

Lakini pamoja na juhudi zote bado kuna umuhimu wa kupiga usafi tumbo kwa mahsusi kabisa. Watu wengi sana hawapigi usafi tumbo waao ni kula tu
 
Kwa aina ya vyakula vya mijini kuna kila sababu ya kusafisha tumbo lako mara kwa mara ili kuondoa mabaki ya vyakula ambavyo huweza kugeuka na kuwa sumu na kuzalisha magonjwa makubwa zaidi.

- Wanawake wengi hushindwa kupata ujauzito kwa sababu ya uchafu mwingi tumboni uliokwenda kuathiri hadi uzazi, na chanzo kikuu ni aina ya vyakula walizokula miaka mingi bila kusafisha tumbo
 
- Kuna magonjwa mengi ya kansa ambayo kimsingi chanzo kikuu ni sumu mwilini iliyosababishwa na uchafu tumboni

- Wale wanywaji wa bia kusafisha tumbo ni muhimu kuliko kawaida

- Wale wanaopenda kula kula sana kusafisha tumbo ni suala muhimu kupita maelezo

- Watu wengi huonekana wazee tofauti na umri wao halisi kutokana na uchafu mwingi tumboni ulioathiri hadi muonekano wake
 
- Kama unapenda kuonekana 'young' tofauti na umri wako halisi basi jikite zaidi kupata huduma ya kusafisha tumbo lako mara kwa mara

- Kama unataka kuondoa mikosi inayosababishwa na kula vyakula vichafu (zilizonuiwa vibaya, mfano kula kwenye mgahawa wenye kufanya ushirikina ili biashara zao ziende vizuri) unapaswa kusafisha tumbo lako mara kwa mara

- Kama unataka kujisikia fresh mara kwa mara basi usisahau kujikita kusafisha tumbo lako mara kwa mara.
 
- Kuna mtu hawezi hata kumaliza soda moja na kumbe hajui sababu kuu ni uchafu uliojaa tumboni mwake

- Kuna watu huamka asubuhi wanajikuta wamechoka na kuanza kudhani labda usiku wametumikishwa na wanga lakini tatizo lipo kwenye tumbo lake.

- Kuna watu wanahisi labda wamelogwa lakini kumbe uchafu tumboni ni mwingi.

- Kuna watu wana uzito usio na muelekeo kumbe chanzo kikuu ni uchafu tumboni mwao, halafu anaambiwa fanya mazoezi. Safisha tumbo ndio suluhu ya uhakika zaidi.
 
Kwa ujumla kwa maisha ya sasa, jikite sana kusafisha tumbo lako mara kwa mara kutokana na aina ya lishe inayopatikana kwa nyakati hizi. Mbegu ni feki, tunda ni feki, chakula ni feki, ujanja ni kusafisha tumbo lako mara kwa mara.

Naona watu wengi DSM wanajikita zaidi kufanya mazoezi, lkn ukweli ni kwamba kusafisha tumbo ndio suluhu bora zaidi ya ki afya hata kuliko mazoezi yenyewe (sina maana mazoezi sio muhimu)
 
Nimekuwa nikitoa huduma hii kimya kimya bila kujua kwamba wahitaji ni wengi. Ndio maana nikaona niwe public kabisa ili niweze kuwasaidia wengi wanaohitaji.

Nawasihi waMama na waBaba hasa waliopo mjini mara kwa mara wawape watoto wao wa kike na wa kiume huduma ya kusafisha tumbo ili kuwalinda ki afya kwenye safari yao maana mfumo wa maisha umebadilika sana. Kila wajapo likizo mwezi wa 6 ama 12 wapate huduma ya kusafisha tumbo kabla ya kurudi shuleni.
 
Kwa huduma ya kusafisha tumbo wasiliana nasi. Sio huduma ya kutibu tumbo bali kusafisha tumbo kuondoa uchafu tumboni. Yaani mm nakufanyia service ya tumbo.
 
Tiba inakuaje?
Kuna dawa nasaga kidogo, naweka kwenye kikombe kidogo unakunywa na baada ya muda unaanza kuharisha. Kumbuka dawa zimetofautiana ubora, hii dawa ni bora zaidi ya dawa nilizowahi kukutana nqzo. Na si chungu, na si nyingi.

Kusafisha tumbo inachukua muda gani?
Hili zoezi huchukua si chini ya masaa 6 sometimes hata 12 kutegemeana na uchafu wa tumbo lako. Ni zoezi la mara kwa mara, km ilivyo kubadili oil ya gari kila baada ya muda. Mara 2 au 3 kwa mwaka inakuwa poa zaidi, yaani kila baada ya miezi kadhaa lkn dozi hupungua kwa kiwango kikubwa sana.
 
Huduma inatolewa wapi?
Huduma inakufuata popote utakapo. Inaweza ikawa kwako nyumbani ama hotelini. Cha kuzingatia ni mahala ambapo unaweza ukafanya yako bila bugudha (hapa nadhani naeleweka). Mimi mwenyewe nitakuwepo kuona zoezi linaendeleaje.

Gharama?
Gharama ni maelewano kutokana na mahali ulipo, maana umbali wa kukufuata huamua gharama. Kuna mtu anaweza kuniita kwenda Dodoma, na kuna mwingine yupo DSM gharama hutofautiana.
 
Copy & Paste kutoka kwenye hii link ya Group la WhatsApp.

Safisha tumbo lako mara kwa mara ili uboreshe afya yako. Afya yako ni mali zaidi ya mali yako!

Chanzo kikuu cha magonjwa mengi ni matokeo ya chakula tunachokula kugeuka kuwa sumu mwilini. Ndio maana Watalaam wa afya wanahimiza sana ulaji wa matunda na unywaji wa maji kwa ajili ya kusaidia mmeng'enyo wa chakula tumboni ili kusaidia ku flash out yale mabaki yasigeuke kuwa sumu.

Lakini pamoja na juhudi zote bado kuna umuhimu wa kupiga usafi tumbo kwa mahsusi kabisa. Watu wengi sana hawapigi usafi tumbo waao ni kula tu
Mkuu ukishakunya umesafisha tumbo.

Ukikojoa umesafisha kibofu.

Hakuna nnjia nyingine ya kusafisha tumbo kama sio kunya,lazima utoe kitu kwenye njia ya haja kubwa na huko ndiko kunya kwenyewe.

Umeshauri watu wanywe maji mengi safi sana,walw matunda na pia WASILE WAKASHIBA SAAAAAANA NA WALE WANAPOHISI NJAAA zaidi ya hapo ni biashara tu mkuu.

Sasa kama umekuja kufanya biashara sawa ila kama umekuja kusaidia watu basi acha kuwaambia kwamba wasafoshe tumbo mara kwa mara watu wanywe maji na wale wakihisi njaa na wqsile wakashiba,wale matundaaaaaaaa.

Nitangulize samahani
 
- Kama unataka kujisikia fresh mara kwa mara basi usisahau kujikita kusafisha tumbo lako mara kwa mara.
Kama kusafosha tumbo mara kwa mara kutakufanya ujisikie fresh je ukisafisha tumbo linakuwa empty wakati umelisafosha au unakuwa kuna vitu vipi humo tumboni ?
 
Tangu mwaka 2003 nimekuwa nikitoa huduma hii Kwa watu wa karibu tu lakini sio ki biashara ila kishkaji tu. Lakini naona Maombi ya kupata huduma yanazidi kuongezeka zaidi na zaidi. Ndio kuona kumbe kweli mahitaji yapo. Na ndipo nilipoanza kuwa rasmi maana nasaidia watu kupona Afya zao.
 
Gharama?
Gharama ni maelewano kutokana na mahali ulipo, maana umbali wa kukufuata huamua gharama. Kuna mtu anaweza kuniita kwenda Dodoma, na kuna mwingine yupo DSM gharama hutofautiana.
Ukiachana na nauli ya kumfata mteja, gharama ya huduma husika ni pesa ngapi.
 
Back
Top Bottom