Pata huduma ya Kusafisha tumbo. Kile unachokula ndicho kinachokuja kuwa sumu mwilini kwako !

Pata huduma ya Kusafisha tumbo. Kile unachokula ndicho kinachokuja kuwa sumu mwilini kwako !

Hahahaha we nadhani maana ya kusafisha tumbo hujui kabisaaaa. Bila Shaka ww ni wa mjini

Kimsingi kuna watu wanaelewa nadhani watu wazima ama watu wa kijijini.
Nahisi itakuwa ni bomba, kama kweli ni bomba basi mbinu hii ni kongwe ilitumika zamani kusafisha tumbo..
 
Huyu asiwadanganye kusafisha tumbo ni kula fibers za kutosha, fiber ni kama brush kwenye utumbo, vyakula vywnye fiber ni pamoja na matunda mengi kila siku, kwa vile matunda mengi ni fake, tumieni majani ya miti inayotoa matunda ya chakula iwe ni mwembe, mchungwa , mnyanya nk.
Maandalizi ni kuyasaga yakiwa mabichi then kunywa juice na makapi yake kiasi..yapo majani ambayo ni very effective kama mlonge ukila majani yake na maua lazima uharishe sana.
Tahadhari; usichemshe dawa hiyo, kula mbichi ina antioxidant na phytochemicals za kutosha, achaneni na wafanyabiashara hizi za madawa ya asili, mtu hataki kusema dawa anafikiri ni ujanja, wape watu elimu hii bure, waachane na utumwa wa medical system!!!
 
Back
Top Bottom