Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Mfiwa kuombwa nauli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nna kitabu kimeandikwa jifunze jinsi ya kuwa na roho mbaya,kina page 3000,nipo page ya 30,nikimaliza ntakuazima ukisome kitakusaidia, nilikuwa na roho nzuri na mwema,ila malipo yalinifanya nitafute hiki kitabu toka mahala pa mbali. Mkuu ukimaliza kukisoma hiki kitabu hutokuwa na huruma tena na kiumbe.Wiki mbili zilizopita nimepata msiba wa kuondokewa na mzazi wangu wa kiume yaani Baba.
Kupitia issue hii nimejifunza mambo Mengi sana.
: Rafiki wa kweli siye unayeishi naye sasa.
: Sio kila unayemtehemea atakusaidia ( wengi wanajali issue za kuuingiza pesa sio utu)
: Uliye mdharau anaweza kuwa msaada mkubwa kuliko uliokuwa unawategeme.
: True love from Ex tuliyeachana kwa Mimi kumtukana sana na kumdharau kupita kiasi.
: Dharau kwa uliyetegemea akufariji hadi kumuacha Ex
: Kwenye msiba ndugu ni mzigo kuliko msaada. Wengi wanakuja kula, kuomba msaada sio msiba
: Msaada mkubwa kwa usiye mdhania au kumfikiria.
: Baaddhi ya mjirani kujifungia ndani kana kwamba hawaji kufiwa
: Wengi tuliowategemea ni marafiki wa baba ni wachonganishi wakubwa na wanafiki nia mgombane wafaidi.
Mambo ni Mengi sana ikiwepo ndugu kuomba kizinga cha hela ya bia wakati majonzi yametawala😂😂😂.
Amini Dunia ina Mengi, kuwa uyaone.
Cha msingi ni kutambua we live once and we die once ,Usipende kujipa umuhimu Sana katika maisha ya watu ...Tumtumaini Mungu katika Kila Jambo tulifanyalo
True love from Ex tuliyeachana kwa Mimi kumtukana sana na kumdharau kupita kiasi.
: Dharau kwa uliyetegemea akufariji hadi kumuacha Ex
Hilo ndio la muhimu, hayo mengine ni matokeo ya tabia zake wala asilaum mtu.Pole sana kwa kuondokewa na baba.
Hawa walalamikaje ndio watu wa hovyo.Ndio uhalisia
Ukiwa disappointed kwa sababu ya vitu kama hivi maisha yako utayaona magumu siku zote
Exactly, huwezi lazimisha mtu akupe msaada sababu una matatizo while hujui anayopitia amenyamaza kimyaHawa walalamikaje ndio watu wa hovyo.
Ni sawa na wale mademu wanajiona wazuri kila mwanaume wanapita naye.
Ukimshauri awe makini anakutukana, baadae akishapigwa mimba Single maza na ukimwi juu akaachwa, mkijikalia kimya mkaachana naye anaanza kulalamika kwamba Dunia haina huruma, ooh hata ndugu wamemkimbia.😅😅😅
Dunia ni nzuri sana imejaa neema tupu inategemeana wewe unaishije
PointHawa walalamikaje ndio watu wa hovyo.
Ni sawa na wale mademu wanajiona wazuri kila mwanaume wanapita naye.
Ukimshauri awe makini anakutukana, baadae akishapigwa mimba Single maza na ukimwi juu akaachwa, mkijikalia kimya mkaachana naye anaanza kulalamika kwamba Dunia haina huruma, ooh hata ndugu wamemkimbia.😅😅😅
Dunia ni nzuri sana imejaa neema tupu inategemeana wewe unaishije
Umejifunza sasa utakuwa na, heshima, busara na hekima, ukikosa wazazi akili inakuwa na mtazamo wa upamoja ndio Dunia hiiWiki mbili zilizopita nimepata msiba wa kuondokewa na mzazi wangu wa kiume yaani Baba.
Kupitia issue hii nimejifunza mambo Mengi sana.
: Rafiki wa kweli siye unayeishi naye sasa.
: Sio kila unayemtehemea atakusaidia ( wengi wanajali issue za kuuingiza pesa sio utu)
: Uliye mdharau anaweza kuwa msaada mkubwa kuliko uliokuwa unawategeme.
: True love from Ex tuliyeachana kwa Mimi kumtukana sana na kumdharau kupita kiasi.
: Dharau kwa uliyetegemea akufariji hadi kumuacha Ex
: Kwenye msiba ndugu ni mzigo kuliko msaada. Wengi wanakuja kula, kuomba msaada sio msiba
: Msaada mkubwa kwa usiye mdhania au kumfikiria.
: Baaddhi ya mjirani kujifungia ndani kana kwamba hawaji kufiwa
: Wengi tuliowategemea ni marafiki wa baba ni wachonganishi wakubwa na wanafiki nia mgombane wafaidi.
Mambo ni Mengi sana ikiwepo ndugu kuomba kizinga cha hela ya bia wakati majonzi yametawala😂😂😂.
Amini Dunia ina Mengi, kuwa uyaone.
ULiwekeza sana kwenye marafiki zaidi kuliko maisha yako binafsi nadhan somo limekuingia vizuriWiki mbili zilizopita nimepata msiba wa kuondokewa na mzazi wangu wa kiume yaani Baba.
Kupitia issue hii nimejifunza mambo Mengi sana.
: Rafiki wa kweli siye unayeishi naye sasa.
: Sio kila unayemtehemea atakusaidia ( wengi wanajali issue za kuuingiza pesa sio utu)
: Uliye mdharau anaweza kuwa msaada mkubwa kuliko uliokuwa unawategeme.
: True love from Ex tuliyeachana kwa Mimi kumtukana sana na kumdharau kupita kiasi.
: Dharau kwa uliyetegemea akufariji hadi kumuacha Ex
: Kwenye msiba ndugu ni mzigo kuliko msaada. Wengi wanakuja kula, kuomba msaada sio msiba
: Msaada mkubwa kwa usiye mdhania au kumfikiria.
: Baaddhi ya mjirani kujifungia ndani kana kwamba hawaji kufiwa
: Wengi tuliowategemea ni marafiki wa baba ni wachonganishi wakubwa na wanafiki nia mgombane wafaidi.
Mambo ni Mengi sana ikiwepo ndugu kuomba kizinga cha hela ya bia wakati majonzi yametawala😂😂😂.
Amini Dunia ina Mengi, kuwa uyaone.
AiseeWiki mbili zilizopita nimepata msiba wa kuondokewa na mzazi wangu wa kiume yaani Baba.
Kupitia issue hii nimejifunza mambo Mengi sana.
: Rafiki wa kweli siye unayeishi naye sasa.
: Sio kila unayemtehemea atakusaidia ( wengi wanajali issue za kuuingiza pesa sio utu)
: Uliye mdharau anaweza kuwa msaada mkubwa kuliko uliokuwa unawategeme.
: True love from Ex tuliyeachana kwa Mimi kumtukana sana na kumdharau kupita kiasi.
: Dharau kwa uliyetegemea akufariji hadi kumuacha Ex
: Kwenye msiba ndugu ni mzigo kuliko msaada. Wengi wanakuja kula, kuomba msaada sio msiba
: Msaada mkubwa kwa usiye mdhania au kumfikiria.
: Baaddhi ya mjirani kujifungia ndani kana kwamba hawaji kufiwa
: Wengi tuliowategemea ni marafiki wa baba ni wachonganishi wakubwa na wanafiki nia mgombane wafaidi.
Mambo ni Mengi sana ikiwepo ndugu kuomba kizinga cha hela ya bia wakati majonzi yametawala😂😂😂.
Amini Dunia ina Mengi, kuwa uyaone.
Mpaka hapo bado huna roho mbaya ndio maana unataka kumpa hicho kitabu.Mkuu nna kitabu kimeandikwa jifunze jinsi ya kuwa na roho mbaya,kina page 3000,nipo page ya 30,nikimaliza ntakuazima ukisome kitakusaidia, nilikuwa na roho nzuri na mwema,ila malipo yalinifanya nitafute hiki kitabu toka mahala pa mbali. Mkuu ukimaliza kukisoma hiki kitabu hutokuwa na huruma tena na kiumbe.