Kwamba majirani walijifungia ndani kana kwamba hamna kitu,hiyo ni kielelezo cha namna mlivyokuwa mnaishi nawo,kuna watu mnakuwa nawo majirani lakini hata salamu hakusalimii,ni yeye na wageni wake,siku akipata tatizo ndiyo anakumbuka kumbe kuna majirani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.